Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

Nilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.
Nimecheka kwa sauti
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Hahahah ela ya ada Ina kama kauchawi,Kama hauna huakika wa kureplace usiguse ata shilingi kumi,ukigusa tu imekula kwako,itaisha bila kujua
Manuizi na maagano Huwa yanakuwa mengi sana mzazi anapotoa Ada
Anaacha vingapi halafu anakulipia ada, unajua kapitia vingapi mpka kuishika hyo hela.
Unajua imepitia mikono mingapi mpka wewe kukabidhiwa mkononi UKALIPE ADA.
Sio mchezo
 
Baba yako alikuwa na gari ila wewe ulikuwa unasoma day school 🤔🤔🤔 Kuna ukakasi hapa
Form 1&3 nilisoma bweni Ila form 4 nilisoma day kwa maamuzi yangu Mana nilichoka life la bweni ukicheki nilikuwa nasoma arena hiyohiyo,kuwa na gari sio ndo kumiliki hela
 
Nilisha kula adamara mbili na zote nikaponea majogooo
 
Back
Top Bottom