Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

Nilianza kula ada ya shule darasa la tatu kama sikosei, nilichezea stick na kushinda njaaa.. 🤣🤣🤣 kuja secondary nishakuwa expert chuo ndio kabisa hadi chuo nikawapiga tukio na home kwa wakati mmoja. Bakula boom, nakula ya nyumbabi nikawaambia sina boom, chuo nikaunda receipt fake
Hahaha wewe jamaa Kama nakujua vile,jamaa yangu mmoja ilikua hivi hivi
 
[emoji81][emoji81]me o level nlkua napewa ada nka lipe Bank. Na shule tulkua tunapewa vi memo vime andikwa mchanganuo wa ada ya mwaka mzima , basi me napita stationary kuedit naongeza sifuri zangu , nampelekea mzee siku niki pewa ada nachukua cha kwangu , nashukuru sija wahi kudakwa japo kuna mda mzee alkua ana shtuka ana uliza hii ada niya boarding au
 
[emoji81][emoji81]me o level nlkua napewa ada nka lipe Bank. Na shule tulkua tunapewa vi memo vime andikwa mchanganuo wa ada ya mwaka mzima , basi me napita stationary kuedit naongeza sifuri zangu , nampelekea mzee siku niki pewa ada nachukua cha kwangu , nashukuru sija wahi kudakwa japo kuna mda mzee alkua ana shtuka ana uliza hii ada niya boarding au
😁😁😁😁😁
Kumbe tz hapa Wala Ada ni wengi Sana hasa ukimuona mzazi ana pesa afu mtoaji
 
Nilianza kula ada ya shule darasa la tatu kama sikosei, nilichezea stick na kushinda njaaa.. 🤣🤣🤣 kuja secondary nishakuwa expert chuo ndio kabisa hadi chuo nikawapiga tukio na home kwa wakati mmoja. Bakula boom, nakula ya nyumbabi nikawaambia sina boom, chuo nikaunda receipt fake
😀😀😀Aunt darasa la tatu
 
😀😀😀Aunt darasa la tatu
La tatu kuanzia hapo nikawa moto, ilifikia kipindi home wakaona hapa hatuna mtu wakata nipeleka zile jela za watoto 😅😅😅 kuna watu huwa nikiwaambia nimemaliza chuo hawaamini.. maana kuanzia down ni msubufu chuo tumepiga sana hela kwa ku forge receipt kabla ya kushtuka 😅😅😅
 
La tatu kuanzia hapo nikawa moto, ilifikia kipindi home wakaona hapa hatuna mtu wakata nipeleka zile jela za watoto 😅😅😅 kuna watu huwa nikiwaambia nimemaliza chuo hawaamini.. maana kuanzia down ni msubufu chuo tumepiga sana hela kwa ku forge receipt kabla ya kushtuka 😅😅😅
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Mwenyekiti we ni nomaaa
 
La tatu kuanzia hapo nikawa moto, ilifikia kipindi home wakaona hapa hatuna mtu wakata nipeleka zile jela za watoto 😅😅😅 kuna watu huwa nikiwaambia nimemaliza chuo hawaamini.. maana kuanzia down ni msubufu chuo tumepiga sana hela kwa ku forge receipt kabla ya kushtuka 😅😅😅
Wewe ni noma usingeenda chuo ungekuwa unatupiga changa kariakoo😂😂😂😂
 
Wew ulikuwa innocent boy shule umemaliza bila kosa

ofcourse sijawahi pata suspension lakini makosa Nilikuwa nayo .lakini sio nifanye kosa kisa nipate usuperstar hapana. Naheshimu pesa sana. hata advance nilikuwa Mkoa wa mbali huko wazazi wanatuma naenda bank mwnyw. Deni la shule kama ni shilling fulani nilikuwa sidanganyi natamka lilivyo.

Napendaga na naiheshimu pesa hadi leo mkuu.
 
Nilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.
Hii kibokoo... mstaafu tena bibi mtu huyo??🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom