Nimecheka kwa sautiNilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.
Baba swalehe,umenichekesha kinomaNlkula Sana Ada za wazee
Sa hivi nakula mpaka Ada za wanangu maskini
UmeuaTamaa ya hela nyingi nikatumia ada kununulia dhahabu(kofuli lililobondwa) kwa thamani ya sh.laki 2.5. Ili nikapate milioni 15.
Manuizi na maagano Huwa yanakuwa mengi sana mzazi anapotoa AdaHahahah ela ya ada Ina kama kauchawi,Kama hauna huakika wa kureplace usiguse ata shilingi kumi,ukigusa tu imekula kwako,itaisha bila kujua
Leo nimemaliza Ada ya Gracious hapa kwenye kitimoto ntaongea na maticha wake tuone tunafanyajeBaba swalehe,umenichekesha kinoma
Wakina Msukuma Geita huko! Kipindi hiyo kufuri la Shaba linayeyushw na kupakwa rangi ya dhahabu.Ndio nn?
Form 1&3 nilisoma bweni Ila form 4 nilisoma day kwa maamuzi yangu Mana nilichoka life la bweni ukicheki nilikuwa nasoma arena hiyohiyo,kuwa na gari sio ndo kumiliki helaBaba yako alikuwa na gari ila wewe ulikuwa unasoma day school π€π€π€ Kuna ukakasi hapa
Kwa Nini umeona ukakasi,wapo wengi tuu na magari Ila watoto Ni day schoolers.Baba yako alikuwa na gari ila wewe ulikuwa unasoma day school π€π€π€ Kuna ukakasi hapa