Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Unajuaje kuwa haziwezi kujitawala na si kwamba hazitaki kujitawala tu?Haziwezi kujitawala. Haziwezi.
Unaelewa tofauti ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje kuwa haziwezi kujitawala na si kwamba hazitaki kujitawala tu?Haziwezi kujitawala. Haziwezi.
Usiseme ivyo wengine Wana immunity kubwa ya kufight pathogensWenye UKIMWI wanaona kaburi lileee. Anyway ni muda sahihi wa kumtegemea MUNGU na siyo mwanadamu
Jambo muhimu: utawala ni nini.Unajuaje kuwa haziwezi kujitawala na si kwamba hazitaki kujitawala tu?
Unaelewa tofauti ni nini?
Jambo muhimu: utawala ni nini.
Unafikiri hawataki kujitawala?
Utakubali kuwa Serikali za kiafrika haziwezi kujiendesha zenyewe.Utawala kwa muktadha wa hapa ni uwezo wa kujiendeshea mambo yao wenyewe.
Africa, hususan kusini mwa jangwa la Sahara, ni bara lililokuwa isolated zaidi. Wakati wenzetu wa Ulaya na Asia wanaingiliana kibiashara na kubadilishana uzoefu, Africa iliachwa ikiwa haina muingiliano sana na dunia. Kwa sababu za Kijiografia.Utakubali kuwa Serikali za kiafrika haziwezi kujiendesha zenyewe.
Kwanini zimeshindwa kujitegemea?
Sababu sio za kibalojia. Sababu ni za kitamaduni kama ulivyosema.
Lakini swali, kwa nini tamaduni za waafrika?
Mbona tunaweza nunua ma V8 kila mwaka na kufadhili mwenge!! Hata iwe 50 B tuna uwezo wa kugharamia tatizo ni vipaumbele tu. Kupunguza tu posho za wabunge zinaweza fidia hiyo deficitNchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
- Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
- Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
- Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
- Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
- Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Shida Inakuja waliopo Katika Maamuzi hayo Sifa yao Kubwa Ni wajue Kusoma Na Kuandika Tu..Mbona tunaweza nunua ma V8 kila mwaka na kufadhili mwenge!! Hata iwe 50 B tuna uwezo wa kugharamia tatizo ni vipaumbele tu. Kupunguza tu posho za wabunge zinaweza fidia hiyo deficit