Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mbaguzi tuBinadamu Ni wabinafsi
Donald Trump sio special
Mkate alionao anawapa wanae Kwanza kabla ya watoto wa Dada zake.
Yaani natamani sana Trump atamke kwa sauti kubwa kuwa HAHITAJI KIONGOZI YEYOTE KUTOKA TZ Kujkipeleka USA, ikiwezekana amtaje kabisa kwa majina yote kamili.Dr. Una mtazamo gani kuhusu serikali kufanya matumizi ya anasa kila mwaka kwa kununua magari ya bilion 5 yearly kwq ajili ya watendaji wake. Huku huduma muhimu zikipewa kipaumbele duni?
Nadhani kabla hatujamlaumu Trump tujitafakari sisi wenyewe kwanza
Dr mm niwe out of mada.
Kama tungesanuka mapema tungekuwa na watu special wa utaftit na kutafta cure sio kutibu magonjwa kwa kwa maelekezo kutoka wHO n stg
Daktar kama ww unatakiw mpk sahv angalau ushagundua dawa ya ugonjw flan ila sio kufuata msaafu (stg) unavyosema lazima kujiuliza kwan hzo dawa ndo only option zinzo tibu tu , hakuna nyingine? Au ni mpango wa viwanda ( Big Pham) kutuweka kwenye Matrix tusiwaze out of the box.
Ushawahi mtibu mmasai hospitalin? Kama jibu ni No basi kuna dawa zao wanazotumia pia ni effctive au wame develop natural immnity ambayo ina nguvu kisa life style wanayoishi
Kuna wale watalaam wa kuunga mifupa
kwa njia ya kienyeji nao njia ya ipo effective kwa asilimia zake ila tu ni vichwa vimefungwa tuamini kua njia walizo andika wazungu kwenye vitabu ndo only option.
Mtaala mzima wa afya kauandaa Rockefeller na alihakikisha dawa zte ziwe zinatoka kwenye kiwanda chake na kupiga vita kubwa natural plant herbs kama mitishamba kutumika katika kutibu.
Usikute hio HIV inatibika na mimea/ herbs ila tumefunga vichwa kuwa ni dawa zinazotoka nje ndo zinauwezo wa kutibu kama walivyo andika kweny vitabu vyao
Tatizo dunia inakosa watu wavumbuzi wanaoweza kuleta innovation kwani watu wengi wanaishi ndani ya Matrix na uwezo wa ku think beyond umeshuka.
Yangu ni hayo. Tujaribu ku think out of the box, ku question vitu ili tuweze ku escape matrix.
DR Mambo Jambo
View: https://www.instagram.com/reel/DEeZ4l6pasC/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
View: https://www.instagram.com/reel/DFZnGfYIvO9/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Waafrika Tujitegemee:
Huyu ni Dkt, hatujui ni Daktari wa NN pamoja na koti lake refu kwenye Avatar Ni mtanzqnia kweli huyu ama anatuchota?Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Watanzania Mnachekesha Sana!
Huko USA kwenyewe hakuna cha bure.Mnasahau hata aliyeleta Misaada kwa Wajawazito kutibiwa na Kupewa Huduma Bure ni USA..
Dr mm niwe out of mada.
Kama tungesanuka mapema tungekuwa na watu special wa utaftit na kutafta cure sio kutibu magonjwa kwa kwa maelekezo kutoka wHO n stg
Daktar kama ww unatakiw mpk sahv angalau ushagundua dawa ya ugonjw flan ila sio kufuata msaafu (stg) unavyosema lazima kujiuliza kwan hzo dawa ndo only option zinzo tibu tu , hakuna nyingine? Au ni mpango wa viwanda ( Big Pham) kutuweka kwenye Matrix tusiwaze out of the box.
Ushawahi mtibu mmasai hospitalin? Kama jibu ni No basi kuna dawa zao wanazotumia pia ni effctive au wame develop natural immnity ambayo ina nguvu kisa life style wanayoishi
Kuna wale watalaam wa kuunga mifupa
kwa njia ya kienyeji nao njia ya ipo effective kwa asilimia zake ila tu ni vichwa vimefungwa tuamini kua njia walizo andika wazungu kwenye vitabu ndo only option.
Mtaala mzima wa afya kauandaa Rockefeller na alihakikisha dawa zte ziwe zinatoka kwenye kiwanda chake na kupiga vita kubwa natural plant herbs kama mitishamba kutumika katika kutibu.
Usikute hio HIV inatibika na mimea/ herbs ila tumefunga vichwa kuwa ni dawa zinazotoka nje ndo zinauwezo wa kutibu kama walivyo andika kweny vitabu vyao
Tatizo dunia inakosa watu wavumbuzi wanaoweza kuleta innovation kwani watu wengi wanaishi ndani ya Matrix na uwezo wa ku think beyond umeshuka.
Yangu ni hayo. Tujaribu ku think out of the box, ku question vitu ili tuweze ku escape matrix.
DR Mambo Jambo
View: https://www.instagram.com/reel/DEeZ4l6pasC/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
View: https://www.instagram.com/reel/DFZnGfYIvO9/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Kubwa jinga anashinda?Ni suala la muda tu watu watagundua TRUMP ni kubwa jinga....
Tatizo hilo linalotengenezwa ni kwako au kwa mmarekani!!??Shida Ni kwamba Kuna tatizo kubwa litatengenezwa kwa Kufanya Hivyo
Hivyo uliyo vitaja Vinafanywa na Daktari au na Serikali?Wewe ni Daktari usiejitambua.
Why Trump akujali wewe kwa kodi za wananchi wake?
Punguza matumizi hutaki, kuzalisha huwezi unakodisha bandari na vyanzo vilii vya mapato.
Sasa unaweza nini?
Kuhusu chanjo NIMR na wataalamu wetu waanze kufanya tafiti zenye tija wavumbue chanjo zetu za gharama nafuu.Nchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
- Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
- Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
- Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
- Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
- Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Umesoma Nilichokiandila Ndugu yangu Presidential Order yaani POTUS order Iliyotoka Jan 20.Ya Kusitisha PERFER ndo iliyosababisha Matatizo hayo Kutokea Go and Find Reseaech kuhusu Hayo..Pamoja na ukweli kwamba alisitisha misaada, haina ukweli wowote ule kwamba alisitisha aidha kwa kutaka kuwakomoa Waafrika au kwa sababu za Dawa za Ukimwi TB n.k Hilo lieleweke.
Are you trying to mislead? nitakuwa nimeskosea? Batanzania....eh
Habari tena Mkuu..Muiangalie hili kwa jicho la Utatu. Usikubali kuburuzwa na maneno ya Kukariri Propaganda za kukuza na kudogosha Jamii fulani za watu.
,...na katika mlolongo huo huo anasema, Daktari anasema hatuwezi kujitegemea kwa sababu za Gharama kubwa. Soma 👉
Natamani Ungeniambia Kipi Kilichoandikwa Ni cha Uongo ili Nikupe Risiti zake..Huyu ni Dkt, hatujui ni Daktari wa NN pamoja na koti lake refu kwenye Avatar Ni mtanzqnia kweli huyu ama anatuchota?
Tafakari kidogo hapo kwanza
halafu tena anakuja kusema👉
Huko USA kwenyewe hakuna cha bure.
Na umeandika uwongo hapo. JUU.
Unataka Kujua Misaada ya Kutibiwa Bure Ilikuja Lini?Tuunaezaje kukumbuka kitu ambacho sio kweli?
wakati hata hatukumbuki walileta hiyo misaada ya kutibiwa na kupewa huduma Bure lilitokea lini ama wapi?
Nakubaliana na Wewe Kabisa..Kuhusu chanjo NIMR na wataalamu wetu waanze kufanya tafiti zenye tija wavumbue chanjo zetu za gharama nafuu.
Habari NkaburuJamaa ni Daktari lakini ana kinzana na hoja zake mwenyewe.
Andikeni tu, na hakuna atakaye wabishia kuna umuhimu wa nchi za Afrika na hapa Tanzania kuamka.
Hatahivyo
Kuna sababu gani za kuketa nyuzi za kudharauliana?
Itoshekusema sijaona nn liwe suluhisho, na suluhisho hilo lilitakiwa lipatikane 19/1/2025.
Kumbuka pia katika ile Project 2025 ambayo ndio inayomwongoza Trump, ilishasema nn watakuja kukifanya. Tulijiandaa Vp?
Nikuulize ww Daktari wa Mambo hayo yalikupitaje? Je Hukuona kwamba ulihitajika kuanza kutafuta suluhisho?
Badala ya kuleta nyuzi hizi za kipropaganda.?
Oh you know I am capable ya kuuchana huu uzi kuanzia Juu mpaka chini, I dare you, dare me.
Indeed ni propaganda za kutukuza tyu.
Asilimia kubwa wanaosema Tujitegemee ndio hao hao walikuwa wakimbeza Marehemu Rais John Magufuli aliposema, hakuna anayetupenda huko nje tufanye ya kwetu.
Hawa hawa. Na uzuri hapa Jamiiforums kuna digital footprints.
Sasa kabla hujakuja na hasira zako, nakwambia kabisa MM ni CHADEMA na nilikubaliana na Sera zote za John Magufuli.
Hatuezi kuendelea kuwapigia magoti hawa Wazungu.
Vinafanywa na Serikali na Daktari anaona ni sawa,Hivyo uliyo vitaja Vinafanywa na Daktari au na Serikali?