Nilikuwa mmoja ya watu wa kwanza kupinga usajili wa Bernard Morrison na kweli hajaniangusha. Huu ni uhuni kwa sisi Yanga

Nilikuwa mmoja ya watu wa kwanza kupinga usajili wa Bernard Morrison na kweli hajaniangusha. Huu ni uhuni kwa sisi Yanga

Umesema ukweli kabisa hata pamoja na kushinda Jana lakini sikuwa na furaha hatuwezi kuwa na timu ambayo watu wanabembelezwa kucheza au kucheza pale wanapokisikia ni heri tukose kombe ila tuwe na timu ambayo ukiangalia uwanjani unaona watu wanapambana
Job kibwana Mwamnyeto Sure boy Farid na wazawa wengine naweza sema ndio wanaoibeba timu kipindi Hawa mafadha waliokuja kula pension wakiwa wanaringa
Anyway kwa sababu hela ni za GSM acha ziliwe siwezi changia hela nimlipe Morrison Bangala Aucho au Aziz watu wanaotoa mchango wakijisikia
Wewe baki kua shabiki usijitwishe mzigo usio uweza hakuna mtu kakuomba uchangie
 
Huwa nasema wazi na leo narudia tena USAJILI WA YANGA NI WA KISHAMBASANA ,eti tunamrudisha ili tuwakomoe simba[emoji23][emoji23][emoji23]guys mko siriazi kweli..jitu kama morisson ni la kufukuzwa nchini coz ni jinga sana lile jamaa.

Yaani ifike wakati vilabu vya nchi hii vikubaliane kutotumika kama mafala na wachezaji ambao hawana nidhamu,hili jamaa lishajua tz ni nchi ya kupiga hela tu,ukizingatia watz wengi ni mashamba tu hayajui mpira,kazi kuweka mbele ushabiki tu.

Jambo lingine,issue inayoendelea kwa yanga na feisal,ni wazi kuwa feisal kaidhalilisha sana yanga,kwa kutaka kuvunja mkataba kihuni,kawadharau sana viongozi hata fans pia,na kwa mujibu wa wakili wake kasema hawezi kurudi kamwe yanga,sasa yanga wataona kama jamaa kusema hivyo ni kuwafanya wao wadogo sanaa,jamani yanga ni kubwa sana kuliko hao wachezaji,mnavyojishusha kwa wachezaji mnajichora tuu ,ohoooo!! Yaani rais hataki kushindwa hata jambo moja akiamini kuwa ndo kipimo cha uongozi bora,kuna mambo lazima uachane nayo tu kama unaona huwezi kuhandle.

pale simba okrah inasemekana anataka kuondoka afu viongozi wanamlamba lamba ,angekuwepo hasspope angelitimua mchana kweupe peee.(IKO SIKU OKRAH ATAWASHINDA SIMBA)mark my words

Liende tu,kwani nini,??ndo nashangaa sasa yanga mnapenda sana kuongozwa na hisia kuliko uhalisia,hakukuwa na sababu ya kumsajili huyu kichaa,na hata kumrudisha mnata,iko siku mtajuta.
Naona una uchungu sana
 
Yanga inabidi wajitahidi kusimmamia nidhamu za wachezaji.

YANI WACHEZAJI WANAJIAMILIA MAMBO PASIPO UTARATIBU.

MIMI NI SIMBA.
NIMPONGEZE SANA ENG KWA SCAUT NA SAJILI NZURI MNO KAMA.

Diara, JUMA, Bangala, Aucho, Mayele nk.

Kongole Hersy ila simamia Nidhamu.
Nilisikia baadhi ya wachezaji wametengeneza usela kwa boss wao Hersi kiasi ambacho wanakuwa wanaogopwa na bench la ufundi (untouchable) kuhofia kumkasirisha boss wao
 
Nilisikia baadhi ya wachezaji wametengeneza usela kwa boss wao Hersi kiasi ambacho wanakuwa wanaogopwa na bench la ufundi (untouchable) kuhofia kumkasirisha boss wao
Umesikia wapi? Kiongozi hapaswi kua na urafiki na anao waongoza?
 
Hii mambo ya "mimi ni Simba......." .Huwa hamjiamini mnavyotoa maoni yenu mpaka mtujulishe kwanza kuwa wewe ni Yanga?
Mimi Simba ila wenzetu Yanga kwa sasa wako vizuri sana, japo si kwa ubaya.
 
Hawa watu niliwakataa

1. Haji Manara (huyu hana akili ila alituona sisi Yanga ndo hatuna akili. Simba wakamfukuza) sisi tukaona tumeokota Dodo.

2. Bernard Morrison (huyu alitudhalilisha sana...tulihangaika TFF, CAF na CAS. alikuwa anatuonesha dharau sana) ameachwa Simba tumemkimbilia ameanza kuonesha dharau zake kwetu. Jamaa sijui mchawi? Mpaka leo hajarudi kambini anakula tu gambe na mademu huko kwao.

Sisi Yanga jana tumemsajili tena Metacha Mnata huyu alituambia tuna f*rwa ashakum si matusi. Alituoneshea dole la katikati. Leo tena ni mchezaji wetu. Haya ni matusi kwetu. Huu Ujinga huwezi ukuta kwa Hawa machizi wa Msimbazi. Wao wana namna yao ya kuendesha team. Hukuti wakirudia matapishi au makosa yao.

Msikilizeni Msemaji wetu. Leo kaongea kwa utulivu mzuri bila maneno ya kichimba chumvi.

View attachment 2484295
Inawezekana wao ndo wanajishalilisha kwakuwa yanga haikuwatukana.
 
Nilisikia baadhi ya wachezaji wametengeneza usela kwa boss wao Hersi kiasi ambacho wanakuwa wanaogopwa na bench la ufundi (untouchable) kuhofia kumkasirisha boss wao
Naungana na wewe mkuu

Mwl mwinyi zahera ambaye amehudumu pale jangwani aliwah sema hili kuwa eng hersi amekuwa jiran na wachezaj Sana

Na Jana kocha nabi kasema kuwa suala la nidhamu wamuachie yeye asiingiiwe na mtu

Kwa scenario hiz mbili utaona kuna shida sehemu

Jana akasema wachezaji wamuige mayele yupo na nidham kubwa Sana pamoja na kuwa top scorer havimbi Kama wengine
 
Huwa nasema wazi na leo narudia tena USAJILI WA YANGA NI WA KISHAMBASANA ,eti tunamrudisha ili tuwakomoe simba[emoji23][emoji23][emoji23]guys mko siriazi kweli..jitu kama morisson ni la kufukuzwa nchini coz ni jinga sana lile jamaa.

Yaani ifike wakati vilabu vya nchi hii vikubaliane kutotumika kama mafala na wachezaji ambao hawana nidhamu,hili jamaa lishajua tz ni nchi ya kupiga hela tu,ukizingatia watz wengi ni mashamba tu hayajui mpira,kazi kuweka mbele ushabiki tu.

Jambo lingine,issue inayoendelea kwa yanga na feisal,ni wazi kuwa feisal kaidhalilisha sana yanga,kwa kutaka kuvunja mkataba kihuni,kawadharau sana viongozi hata fans pia,na kwa mujibu wa wakili wake kasema hawezi kurudi kamwe yanga,sasa yanga wataona kama jamaa kusema hivyo ni kuwafanya wao wadogo sanaa,jamani yanga ni kubwa sana kuliko hao wachezaji,mnavyojishusha kwa wachezaji mnajichora tuu ,ohoooo!! Yaani rais hataki kushindwa hata jambo moja akiamini kuwa ndo kipimo cha uongozi bora,kuna mambo lazima uachane nayo tu kama unaona huwezi kuhandle.

pale simba okrah inasemekana anataka kuondoka afu viongozi wanamlamba lamba ,angekuwepo hasspope angelitimua mchana kweupe peee.(IKO SIKU OKRAH ATAWASHINDA SIMBA)mark my words

Liende tu,kwani nini,??ndo nashangaa sasa yanga mnapenda sana kuongozwa na hisia kuliko uhalisia,hakukuwa na sababu ya kumsajili huyu kichaa,na hata kumrudisha mnata,iko siku mtajuta.
Hiyo ya Okra si kweli... Tumezusha tu kwenye group letu flani. Okra akitaka kuondoa mikia watamfukuza. Hawa jamaa nachowakubali huwa hawana kubembeleza au kurudia matapishi.
 
Hawa watu niliwakataa

1. Haji Manara (huyu hana akili ila alituona sisi Yanga ndo hatuna akili. Simba wakamfukuza) sisi tukaona tumeokota Dodo.

2. Bernard Morrison (huyu alitudhalilisha sana...tulihangaika TFF, CAF na CAS. alikuwa anatuonesha dharau sana) ameachwa Simba tumemkimbilia ameanza kuonesha dharau zake kwetu. Jamaa sijui mchawi? Mpaka leo hajarudi kambini anakula tu gambe na mademu huko kwao.

Sisi Yanga jana tumemsajili tena Metacha Mnata huyu alituambia tuna f*rwa ashakum si matusi. Alituoneshea dole la katikati. Leo tena ni mchezaji wetu. Haya ni matusi kwetu. Huu Ujinga huwezi ukuta kwa Hawa machizi wa Msimbazi. Wao wana namna yao ya kuendesha team. Hukuti wakirudia matapishi au makosa yao.

Msikilizeni Msemaji wetu. Leo kaongea kwa utulivu mzuri bila maneno ya kichimba chumvi.

View attachment 2484295
Kwa faida yako tu nikwamba, Hakuna mchezaji wa kudumu ktk Timu. Wanaodumu ni mashabiki tu.

Kwaiyo, ramba zako ndimu. Itakata kichefuchefu icho. Ciao!
 
Back
Top Bottom