Cc 4000?[emoji15] [emoji15] [emoji15] ...alikuwa anatafuta mchawi huyoo!Unaona kua haiwezekani eeh?
Kuna msela hapa town alinunua Jeep Cherokee XJ CC 4000 kitu petrol hio,mbona amelipark tu mpk leo boss.
Aiseee ila wabongo [emoji107] [emoji107] [emoji107] ...kihele hele cha kununua gari wakati mafuta tatzo unakitoa wapii[emoji13] [emoji13]
#daladala
Hahah ni shiida mkuu,jamaa anaenda nayo Church na kwny fuctions chache pale Gymkana siku nyingine ni mwendo wa vw polo tu,hahah
Hahah anajifanyaga anapenda vitu unique ndo kilichponza hahhaCc 4000?[emoji15] [emoji15] [emoji15] ...alikuwa anatafuta mchawi huyoo!
Hata watoto wa vigogo huwa wanayapaki!
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa huyo amefuga msukuleHahah ni shiida mkuu,jamaa anaenda nayo Church na kwny fuctions chache pale Gymkana siku nyingine ni mwendo wa vw polo tu,hahah
Wabongo hapo meno yote nje mwenzenu kufulia[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...so sad asee!Hahah ni shiida mkuu,jamaa anaenda nayo Church na kwny fuctions chache pale Gymkana siku nyingine ni mwendo wa vw polo tu,hahah
But good start....yuko kama mimi! Napenda mambo makubwa balaa![emoji23] [emoji23]Hahah anajifanyaga anapenda vitu unique ndo kilichponza hahha
Nimeona wengi wanasema Harrier haiko stable barabaran..ni kwanini maana kwa njee inaonekana vizuri tuuHahah kuna ukweli flani hivi lkn hapo hahah,though hio td5 ndii naitumiaga kwenda huko kwny hizo mishe mishe ila kwa mwaka aisee ni mara chache sana kwenda offroad mpk td5 nimeiweka sokoni sa hivi maana haina kazi kiiiile mkuu.
I got your point mkuu.
For the mean time labda niokote mahela ya Vx ingawa dalili za kuziokota hela sizioni ila Crossovers(nehiiiiiiiiiiiiii) maana harrier(old model) ilinishinda barabarani sikua naiona ikiwa stable kiasi ninachotaka mimi.
Hahah mkuu tulimwambia mapemaa,akatujibu "sasa nikiendesha gari zenu vijana nini itakua tofauti ya mwenye hela na nyie vijana mnaoanza maisha" hahah.Wabongo hapo meno yote nje mwenzenu kufulia[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...so sad asee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa...kwani ye mzee?Hahah mkuu tulimwambia mapemaa,akatujibu "sasa nikiendesha gari zenu vijana nini itakua tofauti ya mwenye hela na nyie vijana mnaoanza maisha" hahah.
Apambane na hali yake ila dude kiukweli liko very powerful na linatembea aisee,ila ndo hivo tenasasa huyo amefuga msukule
Ugonjwa wake Gear box...maza lilimletea mushkeli kwelikweli na aliagiza straight from Japan ( SBT)Nimeona wengi wanasema Harrier haiko stable barabaran..ni kwanini maana kwa njee inaonekana vizuri tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaarh wapi ni chalii tu wa kwny early 40's ila ni wale wa from old money families mkuu.
Mmmh 40's si mbaba huyo jamani![emoji15] [emoji15]Aaarh wapi ni chalii tu wa kwny early 40's ila ni wale wa from old money families mkuu.
Daah dude liko vzr tu lile sema wale watu wa mambio ndo wanaonaga dude kwny safari ndefu inakua haijakaa stable kiviile na hazina historia mbaya ya kuchomoka matairi(kama yale ma prado old model)Nimeona wengi wanasema Harrier haiko stable barabaran..ni kwanini maana kwa njee inaonekana vizuri tuu
Sent using Jamii Forums mobile app