Nilikuwa najua wanaume wanachukia wanawake wenye tattoo

Huwa zina mvuto wake, majuzi nilimla sista duu mmoja alikuwanayo pajani it was interesting.
 
Kwa nn sasa hutaki kuchora?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wengi wanaogopa jamii inavyowafikiria ila mimi hiyo haiwezi kuwa sababu yangu milele
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazima wamshangae aisee me mama angu anakufukuza mchana kweupee...[emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakazia hapa watu wenye hofu ya mungu wote hawawezi kukushauri ujichomechome
Kwani tattoo ni dhambi? Hayo ya hofu ya Mungu hata mwenye hofu ya Mungu hawezi kukwambia mngonoke kabla ya ndoa.
 
Tatizo lugha mkuu
 
Huyo aliyekuambia uchore kiunoni anakutafutia mabaya, mimi binafsi demu ambaye ana tattoo siwezi ku deal naye, nilishajijengea kichwani wanakuwa mambo mengi sana
 
Kampeni ya nini mkuu?
 
Haya ikiisha pombe utaendelea
 
Ila ndo hvyo kama mkeo haogopi kumvulia stranger nguo huyo si mke
Lazima wanaliwa. Mtu anakuchoraje anakushika shika kidudu usimpe weeeee.
Au nao wanakuaga kama madaktari wanavyoziona wanaona kawaida tu hawashtuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…