Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,526
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
 
Hebu ongea kiume Kaka.
Muambie kuwa suala la ndoa asubiri kwanza.
Ww ulimuambia kipind kile kwasababu ulitaman awe wako .
Sasa ashakuwa wako asiwe na haraka..
Ndoa kama Mungu kajalia itakuwepo tu.
Asiwe na haraka.

Sometimes Uongo changanya na Ukweli.
Unakupa muda mwing zaid kujitambua na kumtambua pia mwenza wako.

Wiki 3 ushamfanya mdada wa watu mara 7😂😂😂😂. Dah
 
Kataa ndoa piga chini hiyo kiumbe🐼
1000026093.jpg
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Kama ni kale kademu hapo jirani na Kapela S/M kameshaungua hako. Subiri muda tu ukapime. Kameshawaondoa wengi sana halafu kibaya zaidi kenyewe ni ka Carrier
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
siku hiyo hiyo ukala na mzigo? na ndani wik chache umegonga mara saba, Oa tu si ndicho ulichomwambia
 
Back
Top Bottom