Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Mara 7 mbona ndogo mkuu hasa kama mwanamke kakuelewa ni wewe tu na muda nguvu zako.
Nadhan sio mwanamke kukuelewa.
Ila imetokea muda wote wawili wanao pia na gharama ni ndogo. Coz nadhan baada ya Gest , mara zilizobaki demu alienda gheto.

Na kwakuwa dogo Anakaa kwao basi muda wa kutoroka atakuwa nao mchana, means akipewa chips Mayai anagongwa vizur tu.

Kwa Upande wangu mm, nikiwa na chini ya Laki 1 siwez toka na msichana...
Sasa kwa wiki 3 ni laki 7. Ndio nimeshangaa...
Tena kwa demu huyo huyo mmoja ..
 
Mkuu mbona wastani wakawaida saana week tatu gawanya Kwa saba maana yake kila baada ya siku tatu mshenyeto.

Mkuu vijana hawa nguvu wanazo. Dam inachemka
Huyo dada nae alikuwa na nyege sana bwana!
 
Huyo ni mkeo maana wore mnafanana akili na mihemko na damu zenu zinaendana.huu ndio muda wa kuoana ili mfaidiane vizuri
OA haraka kijana
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Mkuu ninataka kukueleza makosa ya kiufundi uliyoyatumia, sasa yakupasa univumilie, maana huwa nimwepesi sana wa kutukana matusi ya nguoni ninapokuwa nashauri mtu aliyefanya makosa yanayoepukika.

Uhuni sote tushaupitia, lakini wewe uhuni wako wa kuongozwa pamoja na kushikiwa akili na kichwa cha chini ni ushamba wa kifala sana umefanya.

Kosa hilo la kifundi ulilolifanya, kwa mikoa mingine ambayo siitaji, ni kosa la kupoteza maisha ama kugeuzwa hanithi.

Mwanaume lazima uelewe kwamba unampo msimamisha mwanamke kwa mara ya kwanza kumtongoza, yale maneno ya mwanzo ama mnaita 'gia' unayoingilia ndiyo pekee hupigiwa mstari na mwanamke, mengine yanayofuata huwa hayasikii.

Kuanza na ahadi, za 'ninataka kukuoa', sijui nitakununulia nyumba, mambo muhimuni ya kusetiri maisha yake huwa hayasemwi kwa ajili ya kumlainisha, huwa yanatekelezwa kimya kimya ukishampenda.

Hauwezi kuanza kuahidi ahadi za maana kabla mwanamke huyo hujampima na kuona kama kabeba vigezo unavyovitaka pamoja na utimamu wako wa kuishi naye.

Sasa tumia mbinu ya kujishusha na kumuomba radhi kwamba haupo tayari kuishi maisha ya ndoa kwa sababu utakazotunga mwenyewe kichwani mwako.

Lakini mkuu, hapo siyo kwamba hautaki kuoa, bali huyo mwanamke kakosa vigezo ulivyomvisha kabla haujalala naye na kuanza kuishi kinyumba.

Ni mara chache sana mwanaume kupewa kumuonja mwanamke na kisha kuendeleza dhamira za kuishi naye, ni vigumu sana ninajua.

Ndiyo maana kwa mila za kistaarabu ni mwiko kulala na mchumba hadi muoane.

Mwanamke wako huyo naye kawa mwepesi mno kama maharage ya mbeya.

Angekuzungusha kwanza ama kukutukania wazazi wako kabla hajachukua uamzi wa haraka wa kumlala, ungelimheshimu na kumthamini na ungelitumia njia mbadala za kumnasa.

Mwanamke hata kama ni kahaba jwa wenzako, lakini wewe ukampata kwa jasho, thamani yake hupanda kwako na hauwezi kuthubutu kumchezea chezea na kumtema kama big G.
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
KUNA sugar MUMY njoo inbox ukilipitia tu huyo anakusahau na lilikikupenda linakwambia una mwanamke anakusumbua UNATAKA kumwacha ukjsema ndio..mpe wiki akikusumbua huyi UNAeTAKA kumwacha njoo nchape sema nalo kuliacha shuhuli

Lina vijana WA kutosha na wengine wanajuana huku mbezi beach
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Nipasie gunia la misumari hilo.
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Baada ya kupata utamu akili imerudi sio
 
Nadhan sio mwanamke kukuelewa.
Ila imetokea muda wote wawili wanao pia na gharama ni ndogo. Coz nadhan baada ya Gest , mara zilizobaki demu alienda gheto.

Na kwakuwa dogo Anakaa kwao basi muda wa kutoroka atakuwa nao mchana, means akipewa chips Mayai anagongwa vizur tu.

Kwa Upande wangu mm, nikiwa na chini ya Laki 1 siwez toka na msichana...
Sasa kwa wiki 3 ni laki 7. Ndio nimeshangaa...
Tena kwa demu huyo huyo mmoja ..
Laki labda kwa mishangazi na iwe unaingia nae sehem zenye hadhi.
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Ushirombo moja hiyo
 
Back
Top Bottom