Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !

Kwa hizi Tabia kukataa kuoa single Mother ni dhambi maana Tabia Kama hizi huzalisha single mothers!
 
Kwa nini ulitumia Gia ya ndoa wakati unajua hilo ndo tatizo kubwa la dada zetu???muoe acha ungese ama ushushwe busha
 
Muoe tu.Mkeanayekufaa ni huyo Cha muhimu kwa sasa ni wewe kufuata sasa taratibu za kuoa kama vile kununua JIKO,Kumpa matumizi n.k.
 
Masikhara yanawakosti wanaume wengi sana. Ni muda mwafaka wa kuingia kwenye ndoa Sasa.

Ukizingua litakupata jambo hutaamini maana pia Mungu Huwa Yuko upande wao hawa viumbe dhaifu.
 
Msi
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Msingizie amekusaliti, mpe tuhuma nyingi za usaliti na usielewe utetezi wake wowote.
 
Kama utakua unaongelea kapela s/m ya ushirombo, nasikitika kukwambia uliotea barmaid wa masankuloni hapo.
c32e6b8ee80d1853813afd11aaf9cba9.jpg
 
Kapela shule ya msingi, ni home Kabisa kama Siyo Dada yangu sijui tu.
 
Back
Top Bottom