Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Nilikuwa namjaribu kaja mazima ANATAKA ndoa nambwagaje!?

Acha upumbavu oa huyo ni mkeo
Kuoa sio kujibanabana
Oa utakuja kujilaumu ukimpoteza huyo binti
Watu wanahangaika sana kupata watu sahihi.
Wakati mwingine Mungu anaturahisishia lakini tunazingua, nisawa umeenda ofisini kutafuta kazi ukabahatika kukutana na bosi mwenyewe ambaye huwa anaonekana maramoja kwa mwaka ,kumbe boss anajisemea moyoni yaani hi ofisi lazima niongeze kijana mmoja .halafu wewe ndio unatokea unamwambia ninaomba kazi anakuangalia toka juu Hadi chini anakuuliza elimu yako, anatamani akuulize wewe ni malaika umetumwa na MUNGU? Au akukumbatie na kukuambia hujui ni jinsi gani nilivyokuwa ninataka mfnyakazi ambaye sio ndugu yangu. Anauchuna anakwambia kesho njoo uanze kazi utaonana na mtu anaitwa Frank mwambie Lumbanga ameniambia nije kuanza kazi. Huulizwi barua passport wadhamuni Wala Nini,sasa ukiwa mpumbavu unasema siendi huenda yule ni tapeli tu huyo Frank atanipanga na kunusumbua, kumbe boss alikuwa na mawazo yakutafuta mtu muda mrefu.

Kwaishu yako vipi Kama binti anaishi kwa dada yake muda mrefu aliahidiwa atapelekwa shule alafu hawaja mpeleka anakuwa amefanywa house girl? Au maisha ya.home yamemshinda kila siku masimango mixa kutongozwa na shemeji?
Anawaza moyoni mwake yaani akitokea mwanaume wa kumioa tu au mwenye chumba hata bila barua Wala mahali yaani Kama ANAELEWEKA tu sisubiri ndoa Wala Nini ninaishi nae namwambia anipe laki moja tu ya mtaji nifanye biashara ile fulani, au anitafutie kazi fulani au vyovyote tu mradi wewe ulipo tokea tu umefiti kwenye plan zake kwa 100%, watu wapo wengi plan zipo nyingi lakini inapotokea inayofit na mahesabu yako usilaze damu, Kuna wengine mpaka alale na binti ameshatumia Zaid ya 50k Tena kwa muda wa miez ata 6 ndio unamgusa huyu amekuwa rahisi kwako kwasababu anaona wewe ndio jibu.
Acha kuzingua Kuna wengine tumepata mke.kwa staili ya ajabu sana
Kama unaweza kufanya sex Kama unaweza kutafuta pesa KIPI kinakufanya usioe.
BAHATI hutokea pale MAANDALIZI yanapokutana na FURSA.
OA UZINZI NI DHAMBI UKIFA BILA KUTUBU UTACHOMWA MOTO.
OVA.
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Mchane ukweli kuwa nilikuwa na genye tu i am sorry sina mpango wakuoa!! Itamuumiza lakini ndo dawa ya yeye kupona na wewe kuwa salama..... hakuna namna ingine” maana umefanya mambo mengi kwa haraka hii ni hatari kwako kujua kazini na geto kwako, jitoe kistaarabu hapo
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
Una mfahamu baba yake kuwa bado yupo anawafahamu maraisi wote waliopita na watakao tangulia kesho.
IMG_0612.jpeg
 
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️!

Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish nikiwa narudi nilikutana na Binti fulani karibu na kapela s/m

Sikikawia nikamvutia kando nikatema madini kwa gia za ndoa mtoto wa watu akanielewa

Alikuwa anaenda kwa dada yake maeneo ya maghorofani nikamwambia anipe namba akitaka outoka kwa dada yake atanicheki akasema Hana Salio Wala sms nikazama Halopesa nokamfanyia muamala wa Salio

Baadae kama Mida ya Saa 11 jioni akanitafuta kuwa ameshatoka kwa dada yake nikaenda tulipokutana mchana nikamkuta yupo na mdogo wake wa kike

Muda sio mrefu mdogo wake akatuaga anarudi nyumbani tukabaki sisi wawili nikamwambia twende mjini tukapate vinywaji akakubali

Tukiwa njiani akasema tusikawie ANATAKA kurudi nyumbani kwao KABLA ya Saa 2 usiku nikaona hapa nisiwe mzembe nikabadili lengo nikazama nae lodge kufika lodge demu haniielewi alonisumbia sana ila eventually nikanyandua


Siku 2 au 3 mbeleni maziwa yakazidi kwangu akapajua kazini akapajua na kushenyeta nishashenyeta kama mara 7 hivi ila akili inagoma kuingia kwenye ndoa na yeye kashaanza mpaka kujinadi kwa dada zake kuwa kapatta mume

Na mimi wazo la kuoa Sina Wala staki kiubanwa banwa nifanye Nini ili demu aniache kwa amani maana kwa jinsi alivyokuja mazima naweza kuwa chanzo Cha kumsababishia jambo lolote baya nikaishia JELA !
😳😳😳 duh aiseee angalia ummemtongoza beki tatu kumbe anashda zake na ww coz una nyenge zmekuzd ukafkr umeotea zali la menta usisahau kutuletea mrejesho wa UTI na kisonono sugu
 
Sijui kama naona ni chai au kuna kitu hakipo sawa. Yani siku hiyo hiyo ukala mzigo ndani ya masaa machache tu na ndani wa week 3 unakula mzigo hovyo tu?

Basi kama sio chai huyo mwanamke ni either yupo so desperate au hana akili timamu.
 
Huwa nawaza , hivi nyie mnaoleta story kama hizi huku hamuogopi labda huyo mnaomzungumzia anaweza kuwa yupo humu na yeye? Au huwa mna twist story kidogo?
 
Unaharibu kesho za watoto wa watu na wewe ni malaya.

Una dada na utapata watoto,imagine wanaume wote tungechezea wanawake hivyo dada yako angekua salama? Mtoto wako je.
 
Umemtongoza sku moja na umemnyandua sku iyo iyo.

Hapo akuna mke we nenda nae tu polepole baada ya km miezi kazaa utapata sababu ya kuachana nae,
 
Hebu ongea kiume Kaka.
Muambie kuwa suala la ndoa asubiri kwanza.
Ww ulimuambia kipind kile kwasababu ulitaman awe wako .
Sasa ashakuwa wako asiwe na haraka..
Ndoa kama Mungu kajalia itakuwepo tu.
Asiwe na haraka.

Sometimes Uongo changanya na Ukweli.
Unakupa muda mwing zaid kujitambua na kumtambua pia mwenza wako.

Wiki 3 ushamfanya mdada wa watu mara 7😂😂😂😂. Dah
Mara 7 mbona ndogo mkuu hasa kama mwanamke kakuelewa ni wewe tu na muda nguvu zako.
 
Huwa nawaza , hivi nyie mnaoleta story kama hizi huku hamuogopi labda huyo mnaomzungumzia anaweza kuwa yupo humu na yeye? Au huwa mna twist story kidogo?
Hivi unadhan huyo dogo anaengangania kuolewa haraka namna hii, unafikiri ana smartphone?.
Pia akiwa nayo hawez jua JF.
 
Back
Top Bottom