Nilikuwa nasikia tu kwa wengine, leo yamenikuta

Nilikuwa nasikia tu kwa wengine, leo yamenikuta

Hii dinner uliyoenda kupata ni ya siku ngapi mbona urudi mkuu..
 
Akirudi niite...


Bado ndio kwanza anawasha jiko la mkaa apike mboga mpaka iwive aweke maji ya ugali jikoni yachemke asonge ugali ale akimaliza hapo yuko hoi bin taabani ataamua kulala tu. Kwa hiyo Mkuu bora ulale tu hii habari itaendelea jamaa akishaamka 🙂🙂
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole ndg. Mmmh, ila nyie ma Dr ni hatare!

Vp ulimudu BP pale Taxi ilipo timua vumbi?
 
Atakuwa anasutwa na watenda wake huko! !
Maana wameona anaanza leta matukio hapa akijua hawapo!
Shughuli anayo
 
na nyie wanaume mmezidi ubahili na ubabe.wanaume wengine hata kumnunulia mpenzi wako hata zawadi huwezi, kila kitu ubabe, hujui kubembeleza , kila kitu usikilizwe wewe agrrrr ngoja tu mdanganywe bwana.ila mapenzi yanauma jaman bora mie nimeamua moja kumpenda mungu.mume wangu yesu tu basi.

Kwahiyo kugawa K yako ni bonge la mtaji?
 
huyu jamaa vip!? dinner mpaka leo!? au ametwaliwa nini!!!!😕
 
Ndio maana unachapiwa demu alishakuona muongo muongo na hauna future,umesema utaleta habari baadae Mpaka sasa haujaleta na utachapiwa sana.
 
Ukishapata dinner endelea na mambo yako tu.
Hamna ishu.
Yule dada usiyempenda ukampa mimba aliyokutega nayo nadhani inabidi ujifikirie mara mbili mbili.
Lea mtoto huku ukiomba kudumisha mahusiano zaidi
 
Kila kitu ni jinsi ulivo kiendekeza na kukikaribisha moyon mwako, kunawanaoumia kupoteza wapenzi wao (hata ndoa hawajafunga) kuliko msiba wa ndugu zao. MAHABA MUUE ATUACHIE MPENZI WAKE SS SHEMEJI ZAKE TUDUMISHE UTARATIBU ALIOUACHA MAREHEMU.
 
Back
Top Bottom