Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Rwanda tena nilijua amesema kanchi jirani
 
Kwa taarifa yako hakuanza yeye, ipo kwa mwingine wa zamani kidogo. Unacheza na nchi ya Guam wewe? Unavyoona wanasiasa wanatoka upande huu wanaenda huko mara wanarudi tena huku, tambua Guam ni nchi ya vinyonga.
 
Hata Queen Elizabeth analindwa na Wajamaica
Nikiwaona wanabadilishana zamu Buckingham palace huwa najiuliza hivi baridi hii wanapuliza puli ngapi kwa siku hahaaha
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu.
 
Read between lines, anyway tuendelee kumuunga mkono raisi wetu kwa jitihada kubwa anazofanya bila kujali kama zinatupeleka mbele au nyuma
 
acha ushamba..walioko off camera manina
 
Hata Queen Elizabeth analindwa na Wajamaica
Nikiwaona wanabadilishana zamu Buckingham palace huwa najiuliza hivi baridi hii wanapuliza puli ngapi kwa siku hahaaha
Queen elizabeth ni malkia wa jamaica na ardhi ya jamaica ni yake ni kama vile magufuli ni rais wa bara na znz

Kwahiyo wataka sema jiwe rwanda ni yake sio ? Au kagame Tz ni yake
 
JWTZ mafala sana, wacha wageuzwe makuli wa korosho!
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Acha basi kujishtukia, kwani kasema TZ? Au Guam hupajui
 
Gaum na Tz zimeingiliana vipi hapo?
Mimi najibu ya kisiwa hicho
 
Tuaminishe na sisi acha porojo no fact the rest is pumba... No research no right to speak.... Sasa sisi umetuaminishaje kwa huu uzi wako?
 
Mkuu sidhani kama unaelewa sensitivity ya huu Uzi.
 
kuweka kumbukumbu sawa, hii post imekuwa liked na watu watatu.
 
Sitaki wakati fulani kujitoa ufahamu. Ili ujinga wangu uwe dhahili nimechagua maswali japo mawili ya kipuuzi nijiulize ili wenye werevu ili wasiwe wajinga na majuha zaidi yangu wanisaidie
1. Kikosi cha kisiwa cha Guam kinatambulikaje? Je ni yale mavazi ambayo hata mimi sikuyazoea?
2. Hapana shaka jirani wa Ticha mdada mpuuzi aweza kuja na kitu makini . Haiwezekani afanye ufunyuzi ashindwe kujua na kuthibitisha kuwa wale wapo kwenye payroll ya Guam kwa majina ila wako on mission kisiwani list itasema yupo
A.. Cpl ntebahungwa Mzendeka
B. Sgt Dosiane Kinyembwa
Je Jirani unayo orodha?
Je kama kweli kama mmoja amesema kwa ushuhuda kuwa yule mnamuona off camera ni Nyanzila korogo ni kijana ni ndugu yako mtoto wa shangazi wa mama mkwe wa dada yake babu yake wa mjomba wa mkweo utakataa?
Tatizo ni Mavazi au Akina tebahungwa wapo ulikuwa nao kozi Canada?
Hii akili yangu hata mimi siiellewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…