Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilisubiri u comment mkuu

Btn the lines inabidi wasomaji wapitie hapa wakiunganisha na mabandiko ya Kaka Paskali
 
Inasikitisha sana vijana kuishi kwa Mawazo ya kufikirika,,
Tatzo mnakurupuka mno kwa kujifanya mnajua sana wakat hamjui hata chembe ya mambo...

Usalama Wa nchi hauko kama mnavyofikiria nyinyi...
Kuna mambo yanayohusu ulinzi Wa nchi hata raisi mwenyewe hayajui ila anapewa ripoti tu..
 
Mkuu umejibu kwa hekima sana.. Hawa jamaa sijui wanapata wapi taarifa matope kama hizi....
Wanapata mda Wa kuyasikiliza haya matope sababu hawana mda Wa kutafiti ukweli Wa jambo..
Ulinzi Wa himaya ya nchi hautolewi maamuzi na kiongozi aliyepo Bali hata yeye anapokea taarifa tu
 
Usiwe na wasiwasi mkuu, Fanya utafiti kidogo huyo (super tall) mkuu wa ..chi kadogo hapo kabla alikuwa mnadhimu mwa.....nge wa ..chi jirani, na kikosi maalum kinachomlinda yeye kinatoka kuleeeee kwenye oil/fuel pipeline, nadhani umenielewa. Pia hapo juu "nidasu kusi" walinzi maalum wanatoka oil pipeline.
 
Pita Pita zangu mtandaon niliona jamaa mmoja ameedit picha moja inayoonesha mfalme hyo wa Guam akilindwa na vijana , wamevalia gwanda Flan iv tofauti na zilizozoeleka... nkafanya uchunguz nkaambiwa hao ni wa ki-nchi Flan iv kidogo dogo Mithili ya kisiwa cha shelisheli. Sasa nkajiuliza sasa huku kutoaminiwa kwa majeshi ya Guam,, itawagharim
 
Sidhani kama hawa wanaweza kukiuka maadili kiasi hicho na kujihusisha na matukio ya kizembe kama hilo unalosema.

Nna uhakika kabisa kwamba ingekuwa ni hawa basi tungekuwa twaongea mengine maana wana uzoefu na mambo kama hayo.

..nakubaliana na wewe kwamba tukio lile lilikiuka maadili. Ule ulikuwa ni UNYAMA.

..lakini natofautiana na madai yako kwamba ni tukio la kizembe, au aliyelitekeleza alikuwa mzembe.

..kwa maoni yangu waliotekeleza tukio lile ni watu waliofuzu na mahiri ktk kutumia automatic rifles.

..ndani ya muda mfupi, na katika mazingira magumu ambapo mlengwa hakuwa katika eneo la wazi, waliweza kurusha risasi 38 na kati ya hizo 16 zilimpata mlengwa.

..maana yake ni kwamba kwa kila risasi 2 walizorusha, 1 ilimpata mlengwa.

..kwa wenye uzoefu na automatic rifles watakubaliana na mimi kwamba washambuliaji walikuwa ni PROFESSIONALS.

..lakini pia washambuliaji hao waliweza kutoroka eneo la tukio bila KUKAMATWA na mpaka leo hii imeshindikana KUWATAMBUA.

..Again, natofautiana na wewe unaposema shambulizi lile ni la kizembe au lilitekelezwa na watu wazembe.
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama

Guaman m Tz acha umbea
 
Kwahiyo wanajeshi wakwetu wameonekana hawawezi kazi ya kumlinda mfalme zaidi ya kubangua korosho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
 
Nilisubiri u comment mkuu

Btn the lines inabidi wasomaji wapitie hapa wakiunganisha na mabandiko ya Kaka Paskali

Kwenye mambo kama haya yanayohusu hali ya hewa ya hivi visiwa, ni jambo la busara kutumia dots tu na kuangalia uandishi wako..
 
Alikuongopea sana, hizo mbona zipo siku zote sema ulikua hujaziona tu.
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
UNAWAITA VILAZA WAKATI WABUNGE WENU WAMEENDA KWAO KUJIFUNZA NAMNA YA KUTUNZA PESA ZA SERIKALI KWENYE KAPU MOJA
 
Sasa kwa hali iliyopo inawezekana kiongozi wa Guam ana mpango wa kukaa muda mrefu kama jamaa anayempa ulinzi au niaje hapa, maana ndege wafananao huruka pamoja bandugu.
 
Usilolijua ni usiku wa giza, mbaya zaidi kila mtu huamini & kusadiki kile apendacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…