Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Bradha, nimesoma tena na tena nikajikuta bado niko right kuwaMkuu,
Hiyo sentensi yako ya pili haikua na haja ya kuwepo kama ulichokisema ktk sentensi ya kwanza kina ukweli.Kitendo cha kusema hiyo sentensi ya pili kinaonesha wewe mwenyewe hauamini ulichokisema kwenye sentensi ya kwanza.
1. Usiamini kila unachosikia kuna vingine ni kweli na vingine ni sii kweli.
2. Sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, kuna ukweli mwingine unausikia na kabla ya kuusema, unapiga hesabu ya maslahi ya ukweli huo kujulikana, ukiona hauna maslahi, unaupotezea au una kumezea.
Dogo, kula darasa hapa
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P