thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Kama hali ni ngumu kwa wananchi kwanini mnawatembezea bakuri ?Safari hii sidhani kama tutafika Oktoba 28, patachimbika mapema sana. Wananchi wamechoka wapo hoi kila kona, kuanzia kimaisha + ajira. Hali mbaya mtaani (Juzi nimepakiwa na bodaboda dereva ana degree ya education, hana ajira na kasoma)...
Kakataa upuuziKuna jamaa yangu alianza kufatisha ghafla akasikia chagua namba 4, kumbukumbu namba weka CDM2020, ghafla weka kiasi, ghafla password...... Jamaa akashtuka nkaona anaitia simu mfukoni
Aisee usimlinganishe Hillary Clinton na huu utopolo wenu.Sio kosa hata US huko Hillary Clinton alichangiwa na baadhi ya wasanii wakubwa kama akuna Jay Z,Kanye ,Beyonce nk.Hiyo ni kawaida ktk ulimwengu wa demokrasia.
Inawezekana kweli nisimlinganishe,inaonekana demokrasia yetu na US tofauti.Ila wenye demokrasia yao wanafanya hivyo,Lissu yupo sawa.Aisee usimlinganishe Hillary Clinton na huu utopolo wenu.
Ccm ndio wamevunja record yani watu hawajapiga kura tayari wameshinda majimbo kumi na nane[emoji3][emoji3][emoji3]
Leo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu.
Mengi ameeleza vizuri sana japo kuna ambayo ameyarudia rudia sana.
Kingine nilichopenda ni muda wa mgombea umekuwa mrefu sana kapata karibu saa nzima tofauti na 2015 kipindi cha lowassa ambae alikuwa anaongea dakika 3 tu.
Ila katika yote kubwa ni hili la kutaka kuchangishwa fedha kilazima/kinguvu. Mgombea wetu anatuambia "haya toeni hizo simu zenu za mchina, bonyeza *150*00# kisha chagua namba 4 kisha......"
Baadhi tuliokuwa hapo tukajiuliza kajuaje tuna pesa kwenye simu? Kwa kuzuga tukamjibu hakuna network, akasikia.
HATUJAPENDA HII, WEKENI NAMBA AU ACCOUNT KWA MUDA MTU ATAOTAKA KUCHANGA ATAWACHANGIA.
Nimesikia kuwa baada ya kuona watu wanachangia, mkakata mtandao!! CCM waoga sana...
Yani chama hakina rasilimali fedha na watu!. chama hakina timu ya hamasa wala media iliyojidhatiti kurusha habari zake,kutwa kucha kulalama tu!,na kurushia madongo dola, chama hakina hata ofisi yenye hadhi ya kichama ! .Alafu Leo wanataka tuwape nchi tuwe serious kidogo!.
Angalau na hatimaye, tena kwa unyonge Mkuu BAK unajitosa jukwaani kwamba upo. Kama uzinduzi ungekuwa na mafuriko hakika JF ingejaa bandiko za shangwe.Hata wakati wa chama kimoja hakuna aliyepita bila “kupingwa”
Vipanga[emoji1787]Ndio maana Lowasa aliwakacha hawa wahuni. Alijua watamfilisi tu.
Yanasubiri maandamano yapore maduka ya watuTatizo CDM kimajaza watu wahuni wahuni tu ambao hawawezi hata kutoka elfu moja kwajili ya chama.
Angalau na hatimaye, tena kwa unyonge Mkuu BAK unajitosa jukwaani kwamba upo. Kama uzinduzi ungekuwa na mafuriko hakika JF ingejaa bandiko za shangwe.
Ukweli, kama mada ilivyo, na nilikwisha toa angalizo mapema, hazina ya CHADEMA imesafishwa kitambo na kuvunjwa vipande vipande katika kugharamia mikutano isiyo na tija ya Lissu, mgombea wao, kutafuta wadhamini.
Sasa, viongozi wa CHADEMA wanafuta njia ya kujinasua na aibu kwa matamshi ya kuchochea vurugu. Ila wajifunze kwa jinsi Serikali ilivyokaa kimya Lissu akizunguka mikoani huku akimwaga kejeli na dharau kubwa dhidi ya viongozi wake na dini.
Wengi wao watapata vilema na kupotelea jelaYanasubiri maandamano yapore maduka ya watu