Nilileta nyuzi nyingi kuhusu wasanii wa kiume na hereni, kusuka pamoja na vipini puani hamkunielewa. Sasa P Didy kaja kuwafumbua macho

Nilileta nyuzi nyingi kuhusu wasanii wa kiume na hereni, kusuka pamoja na vipini puani hamkunielewa. Sasa P Didy kaja kuwafumbua macho

Machifu walivaa hereni, Masai hereni, sasa dini za wenyewe zachanganya akili zetu mpaka yawa majanga!
 
Machifu walivaa hereni, Masai hereni, sasa dini za wenyewe zachanganya akili zetu mpaka yawa majanga!
[/QU
Machifu walivaa hereni, Masai hereni, sasa dini za wenyewe zachanganya akili zetu mpaka yawa majanga!
kwa tamaduni zetu kwa sasa ulifanya hivyo watakushangaa na kuna baadhi ya maeneo kwako itakuwa shida, mfano kuajiriwa kazi serikalini hata baadhi ya mashirika labda yale ya kimataifa ndio unaweza ajiriwa.
 
Hao wasanii wa kawaida tu hawahusiani lolote na upinde,wanamegwa kwa matakwa yao.
 
Niliwaambia na nitawaambia kuwa shetani ndiye Mungu wa Dunia hii. Na ili akupe vya Dunia hii au akupe miliki yake lazima umsujudie. Wasanii wetu wanachotaka ni aidha pesa au umaarufu na hivyo vyote ibilisi anavyo. Ukimsujudia (kukubali amri zake) anakupa pesa nyingi na umaarufu anakupa.
Hawa wasanii wa kiume wanaovaa hereni wamemsujudia.
Wanaovaa nguo za hovyo za kuonyesha vitovu , za kuonyesha migongo wamemsujudia.
Wanaovaa hereni na vipini wamemsujudia.
Wote hao waliomsujudia amewapa task ya kueneza mapenzi ya jinsia moja kwa kujua au kwa kutokujua.
Nyimbo yoyote lazima ibebe roho, kadri unavyosikiliza unaruhusu roho iliyopandwa kwenye wimbo ikuingie.
Wimbo unaweza ukawa na dk 6 lakini madhabahu iliyoshikia wimbo iko na sekunde 2 mbili.
Hata hizi Hollywood movies the same.
Jamani kuweni macho.
Unaweza kujikuta uko na 50's mara unaanza kupatwa na hamu za kuzagamuliwa from no where.
Bosi wa Idara nyeti Tanga mwaka jana kapelekwa hospital kutolewa tango makalioni alilojiingiza akiwa ndani ya choo cha ofisi. Unfortunately likaingia lote akashindwa kujitoa .
Ombeeni watoto wenu, upinde everywhere.
Ndio maana Roma Mkatoliki havai
 
Mke wangu akivaa bikini nje ya chumba chetu cha kulala hiyo ndiyo itakuwa talaka yake.
Mimi si mwanaume mjinga wife nilimpa masharti yote tangu tukiwa wachumba. Ndoa ni Kambi ya jeshi haiendi tu kijingajinga
Jaman bikini inavaliwa na mtu yoyote, na bikini inavaliwa kama hutaki mistari ya chupi ionekane kwenye nguo yako, so unavaa bikini kwa ajili hiyo, wengine wanavaa wabapoenda kugongwa so sio kila mtu anavaa bikini kwa ajili ya kugongwa
 
Back
Top Bottom