Nilileta nyuzi nyingi kuhusu wasanii wa kiume na hereni, kusuka pamoja na vipini puani hamkunielewa. Sasa P Didy kaja kuwafumbua macho

Nilileta nyuzi nyingi kuhusu wasanii wa kiume na hereni, kusuka pamoja na vipini puani hamkunielewa. Sasa P Didy kaja kuwafumbua macho

Kwa sasa hv wengi wanajiingiza kwa sababu ya tamaa ya pesa, hawana kazi wala hawataki kujishughulisha, wanapenda maisha mazuri na wao waonekane kwenye makumbi ya starehe, mwisho wa siku wananunuliwa mipombe kidogo kidogo wanalewa na wanafanyiwa hivyo.

Wengine, wanaiga kwa kuangalia mitandaoni tuu kwa kuanza kupenda jicho na baada ya muda na wao wanatamani kuanza kuliwa jicho,

Wengine walianzishiwa na watu wakaribu wakati wa udogo wao kwa maana ya majira, marafiki, ndugu au watu wa karibu katika mazingira ya kihomehome na mwisho wa siku wanazoea, si unajua ukishaliwa jicho hata kwa kubaka huwezi sema unaona ni fedheha so mwisho wa siku wanazoea wanakubuhu.

Kuna wengine wanatamani tu dyudyu kwa kweli, nao wapo kibao, yaani akiona zip ya mwanaume imetuna yaani roho inashtuka kwa kweli, hiyo ni hivyoo tuu kwa kweli, unaweza ukawa nae mtu wa hv yaan anatamani awe anakuona tuu au anatamani hata mlale nae ika anashindwa kukwambia.

Kuna wengine wanasema wanazaliwa na homoni watu wanasema ila sijawahi kuthibitisha kwa kweli kama zinapelekea kutumani dyudyu but inaweza ikawa kweli lakin wapo wengine wako hivyo na ni vitombi kwelikweli.

Kitu kingine huko mabordingi ukipeleka mtoto wako muombee sana huko ndiko watu hujifunza mambo mengi, wanapooga pamoja unakuta mwingine anapenda kuangalia tuu dyudyu za wenzake yaan kikubwa ni kuombea kizazi chako.

Mwisho hili swala lipo sana na kujua kwamba huyu ni mdau sio rahisi kihivyo kwa nch yetu, si viongozi wa dini si wa kiserikal so watu wengi wanafanya kikubwa usikere mtu.

Haya mambo yana usiri sana, na unaweza ukawa unaona mtu anapinga vikali kumbe ndio mdau mkubwa wa machoo😅, salam kwa rafk yangu mmoja Arusha, hayupo humu ila ninachotaka kusema moyo ni kichaka, kila mtu ana siri yake.
da!!!....aisee noma sana "MUNGU yupo gym anapasha,akitoka huko atawatia vitasa wasenge na mabasha wote"
 
da!!!....aisee noma sana "MUNGU yupo gym anapasha,akitoka huko atawatia vitasa wasenge na mabasha wote"
Dhambi sio hiyo tuu, zipo dhambi nyingi lakini angalia usije ukahukumiwa wewe, Mungu formula yake sio kama ya binadamu unaweza mkuta msenge na basha mbingu ww ukaenda motoni, Hukumu ni ya Mungu tuu.

Lakini, usisahau wanaokula macho ya wanawake kama wale kina nyundo, kiufupi mwanamme kula jicho ni rahisi kuliko mtu kuliwa jicho, sitaki kuongea sana ngoja niishie hapa.
 
Dhambi sio hiyo tuu, zipo dhambi nyingi lakini angalia usije ukahukumiwa wewe, Mungu formula yake sio kama ya binadamu unaweza mkuta msenge na basha mbingu ww ukaenda motoni, Hukumu ni ya Mungu tuu.

Lakini, usisahau wanaokula macho ya wanawake kama wale kina nyundo, kiufupi mwanamme kula jicho ni rahisi kuliko mtu kuliwa jicho, sitaki kuongea sana ngoja niishie hapa.
Hamna ki2 kama hicho,msenge na basha hawawezi kwenda MBINGUNI,kama ndivyo MUNGU asingelipua SODOMA na GOMORA!!!!
 
Si angelinya tu hilo tango..
Niliwaambia na nitawaambia kuwa shetani ndiye Mungu wa Dunia hii. Na ili akupe vya Dunia hii au akupe miliki yake lazima umsujudie. Wasanii wetu wanachotaka ni aidha pesa au umaarufu na hivyo vyote ibilisi anavyo. Ukimsujudia (kukubali amri zake) anakupa pesa nyingi na umaarufu anakupa.
Hawa wasanii wa kiume wanaovaa hereni wamemsujudia.
Wanaovaa nguo za hovyo za kuonyesha vitovu , za kuonyesha migongo wamemsujudia.
Wanaovaa hereni na vipini wamemsujudia.
Wote hao waliomsujudia amewapa task ya kueneza mapenzi ya jinsia moja kwa kujua au kwa kutokujua.
Nyimbo yoyote lazima ibebe roho, kadri unavyosikiliza unaruhusu roho iliyopandwa kwenye wimbo ikuingie.
Wimbo unaweza ukawa na dk 6 lakini madhabahu iliyoshikia wimbo iko na sekunde 2 mbili.
Hata hizi Hollywood movies the same.
Jamani kuweni macho.
Unaweza kujikuta uko na 50's mara unaanza kupatwa na hamu za kuzagamuliwa from no where.
Bosi wa Idara nyeti Tanga mwaka jana kapelekwa hospital kutolewa tango makalioni alilojiingiza akiwa ndani ya choo cha ofisi. Unfortunately likaingia lote akashindwa kujitoa .
Ombeeni watoto wenu, upinde everywhere.
 
Hamna ki2 kama hicho,msenge na basha hawawezi kwenda MBINGUNI,kama ndivyo MUNGU asingelipua SODOMA na GOMORA!!!!
Ww sio Mungu, Heri mwisho mwema kuliko mwanzo, ww huna mbingu, watu wanapata neema, wameingia wauaji kina Sauli, hebu tulia formula ya Mungu sio ya mwanadamu, mtu anaweza akatapa neema ukashangaa
 
Ww sio Mungu, Heri mwisho mwema kuliko mwanzo, ww huna mbingu, watu wanapata neema, wameingia wauaji kina Sauli, hebu tulia formula ya Mungu sio ya mwanadamu, mtu anaweza akatapa neema ukashangaa
Hukumu zake hazichunguziki.
Tuache kuhukumiana hakika.
 
Niliwaambia na nitawaambia kuwa shetani ndiye Mungu wa Dunia hii. Na ili akupe vya Dunia hii au akupe miliki yake lazima umsujudie. Wasanii wetu wanachotaka ni aidha pesa au umaarufu na hivyo vyote ibilisi anavyo. Ukimsujudia (kukubali amri zake) anakupa pesa nyingi na umaarufu anakupa.
Hawa wasanii wa kiume wanaovaa hereni wamemsujudia.
Wanaovaa nguo za hovyo za kuonyesha vitovu , za kuonyesha migongo wamemsujudia.
Wanaovaa hereni na vipini wamemsujudia.
Wote hao waliomsujudia amewapa task ya kueneza mapenzi ya jinsia moja kwa kujua au kwa kutokujua.
Nyimbo yoyote lazima ibebe roho, kadri unavyosikiliza unaruhusu roho iliyopandwa kwenye wimbo ikuingie.
Wimbo unaweza ukawa na dk 6 lakini madhabahu iliyoshikia wimbo iko na sekunde 2 mbili.
Hata hizi Hollywood movies the same.
Jamani kuweni macho.
Unaweza kujikuta uko na 50's mara unaanza kupatwa na hamu za kuzagamuliwa from no where.
Bosi wa Idara nyeti Tanga mwaka jana kapelekwa hospital kutolewa tango makalioni alilojiingiza akiwa ndani ya choo cha ofisi. Unfortunately likaingia lote akashindwa kujitoa .
Ombeeni watoto wenu, upinde everywhere.
P Diddy alimtafuna dangote ili amwingize chama la mataniri
 
Na yeye kwanini sijui aliingiza lote, sijapenda kabisa
Usipende wewe inakuhusu nini wakati aliyefanya ndiye alipenda?

Inakuwa kama unamlaani mwanachama mwenzako kwa kufanya kizembe, yaani kawaangusha.

Dunia ina maajabu sana hii
 
Kijana diamond kamuulize. Ila hizo x-za kungonoka za akina diamond zikitoka sijui itakuwaje. Ndiyo maana Nasibu alibadilika ghafla kutoka yule mjela jela wa tandika mpaka kiwa mdebweto kubana pua na kulegeza macho mwili kumbe bikra imeenda na didi ila jamaa mshenzi sana, meneja wake naye linda kwisha kapata hela kaja kuhonga ubunge hahaha ila dunia hii usiige mafanikio ya mwenzako. Maana kuna clip Mondi anahangaika hata kutembea
Noma sana!
 
Back
Top Bottom