Nilimpata mchumba mchawi

Wachumba tupo Arusha wewe ulienda Dodoma kutafuta nini? 😅Ila ukikuta mwanaume ni mchawi ujue ni kiongozi wa wachawi wa kijiwe flani. Pole mkuu, karibu supu Bluestone
 
Iko kipindi una go through hard time ,ndo kipindi ulikupasa kusema Ili umuumbue umu ......haki tungemsema mpaka akaomba poooo
 
Hiki kisa chaukweli kwa ambaye haamini ataamini siku moja ataamini
 
Sidhani kama ni kweli kwa maana kama ni kweli na kama uliamua kuingia kwenye maombi, usingejaribu kuongea maneno hayo kwani sio ya mwanamke mwenye staha na aliyepita kwenye misukosuko kama uliyoandika.
Nafuu yako sema uongo basi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…