National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Usiogope mpenzii, unajua kabisa bila wewe maisha yangu hayana maana, wewe ndio unaefanya dunia na uhai wangu viwe na maana 😊😊Haya mahaba mbona mengi hivo mpaka naogopa😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope mpenzii, unajua kabisa bila wewe maisha yangu hayana maana, wewe ndio unaefanya dunia na uhai wangu viwe na maana 😊😊Haya mahaba mbona mengi hivo mpaka naogopa😆😆
Tutakuwa tumekujua tunakaa mbali na wewe![emoji14]Afu akishanitaja wewe utafaidika na nini?
Mpaka hapa alishashindwa usikiri uoga na hofuAtanimalizia kabisaa namuhofia
Darlin , story yangu na Unique Flower nitakupea siku tukiwa wawili🤣Babuuuu jf nzima si utaimaliza hii😆😆
Kumbe hadi mna storyyyDarlin , story yangu na Unique Flower nitakupea siku tukiwa wawili🤣
Bibi amekaa kwa utulivu huko analea wajukuu[emoji3][emoji3][emoji3]Kumbe hadi mna storyyy
Babuuu babuuuuu khaaaaa[emoji38][emoji38][emoji38]bibi anajua haya
🤗🤗 Furaha yangu na roho yangu, tumaini la maisha yangu ndio wewe mama unae tunza uhai na maisha yangu, nijidai mie kuwa na weweAww 🥰
Carleen dada yangu njoo uone mahaba ya shemeji yako
Halafu babu uko jf unahangaika na wajukuu wakuite daddy😆😆😆Bibi amekaa kwa utulivu huko analea wajukuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Aaiiiiiiiiii wambiee mpenzi wangu wajue jaman🥰🥰🥰ukizidisha mahaba hivi nakuekea bango lako pale posta🤗🤗 Furaha yangu na roho yangu, tumaini la maisha yangu ndio wewe mama unae tunza uhai na maisha yangu, nijidai mie kuwa na wewe
🤗🤗 nitakupenda mpaka pumzi yangu ya mwisho. Maana ni wewe pekee ulie fanya dunia iwe na maana kwangu, bila wewe hakuna maana yoyoteAaiiiiiiiiii wambiee mpenzi wangu wajue jaman🥰🥰🥰ukizidisha mahaba hivi nakuekea bango lako pale posta
[emoji3][emoji3]eeeh kina Darlin, huenda nikajihisi bado damu ya moto!Halafu babu uko jf unahangaika na wajukuu wakuite daddy[emoji38][emoji38][emoji38]
Kweli mtaje!🤣🤣🤣 mtaje tu hamna namna
😆😆😆Akhuuuu mie sihusiki[emoji3][emoji3]eeeh kina Darlin, huenda nikajihisi bado damu ya moto!
Eeeh, naendelea kumuweka Unique Flower vizuri hapa, naamini mda sio mrefu ataanza kuniita daddy[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]Akhuuuu mie sihusiki
Labla wew na mtoa mada
Kaza hivo hivo mzee wanguEeeh, naendelea kumuweka Unique Flower vizuri hapa, naamini mda sio mrefu ataanza kuniita daddy[emoji28][emoji1787][emoji1787]