Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili alione aendeleze maumivu unajua maumivu weweWeka picha ya tumbo lilivyokatwa upewe muongozo...
Mficha uchi hazai... Weka upewe dawa...Ili alione aendeleze maumivu unajua maumivu wewe
Nikweli nikipata id yakenitakutumia ili akikufuata ujue ndio huyo huyo umkimbie atakufanya nyama kamahumjui😂😂😂😂utatuvunja mbavu
Ipo hiviMficha uchi hazai... Weka upewe dawa...
😂😂Aisee polesanaNikweli nikipata id yakenitakutumia ili akikufuata ujue ndio huyo huyo umkimbie atakufanya nyama kamahumjui
Ni kama alikupapasa tu...Ipo hivi
Are you serious ilo tumbo lilipasuka tu?Na maombi uliyoenda ya kanisa ganii?Doh nimejikuta nacheka sana aisee I wish uwe ni utaniHiki kisa chaukweli kwa ambaye haamini ataamini siku moja ataamini
Nimecheka, haha kweli uchawi upoAtanimalizia kabisaa namuhofia
Hahahaha JF ni Dunia ya pekee yake ni nchi Fulani Fulani hivi Iko mbingu flaniHahaaaaa, bro unajua hata mimi hii ID nilivyoona imeandika hivi nikacheka sana ila wewe ndio umeua. Jamaa hapa anasema anapenda chafu na anamtaka huyu Dada. Maisha ya JF ni ya kuchekesha sana.
Then..... Cc:.......... [emoji1787]Ni kama alikupapasa tu...
Nyie mnakulana🤣🤣🤣🤣Haya laaziz nyonga mkalia ini
Yani hata wewe? Wewe si ni shahidi yangu?Tutakuwa tumekujua tunakaa mbali na wewe![emoji14]
Hivi unajua navyokupendaga lakini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]