Nilimpatia elfu tisini jana, leo kakataa kunikopesha chakula kwenye mgahawa wake

Nilimpatia elfu tisini jana, leo kakataa kunikopesha chakula kwenye mgahawa wake

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Habari zenu wana JF,

Nina mahusiano na bidada mdogo tu ambaye anamiliki mgahawa mdogo tu, lakini unamuingizia pesa si chini ya 20K kwa siku, ni mchapakazi kweli kweli na shughuli zote anazifanya mwenyewe kitu kilichonivutia kuwa naye! Mgahawa wake ndo ulikuwa chanzo cha mimi na yeye kufahamiana kwa sababu lunch huwa naifanyia pale!

Tumshukuru mama kwa kuwa mpaka sasa nimekwisha mgegeda mara mbili, siku tatu zilizopita aliniomba nimwazime kitita cha Tsh 90k, lakini siku ya jana nimemkabidhi na kumwambia haitaji kunirudishia, achukue jumla, kanishukuru sana bidada wa watu!

Leo saa sita mchana wakati naenda kupata ugali dagaa nikamkuta yuko anaongea sauti ya chini na miondoko ya mwili na macho na mteja mwenye uchebe na kitambi mbinuko! Nikaamua kuchukua seat pembeni, nikamuita, alipofika nikamwambia anikope ugali dagaa wa 1.5k ili jioni nikiwa natoka kazini nimpitishie pesa yake!

Binti kakataa kata eti nisimuharibie biashara yake! Nimetamani kumdai 90k yangu, sema tu utalbani umeniingia, ingawa nimetoka ndani ya huo mgahawa ndani ya dk 3 tu tokea kuingia, nimejikuta nachekwa na wananchi walio kuwa pale nje huku wakilishambulia chuzi la samaki wa kubanikwa, losti lililotengenezwa na yule bidada!

Hapa nilipo nina hasira! Sijui huyu binti nimfanye nini!
 
Mzee baba kwanza iyo ela sahau kama atakurudishia fanya kama umempa iyo uyo bidada hapo sidhani kama anaweza kuwa na bwana mmoja wewe nafikir utakuwa kama wa kumi hivi sema usife moyo pambana urudishe pesa yako alafu mkatae uwe unaenda tu kula kama mteja wa kawaida
 
Una 90 elfu ya kumuhonga lakini huna buku jero ya kulipia chakula. Ukute hata huko kumgegeda ulitoa hela ya kinyonge. Hiyo 90 ilikuwa timing usilipwe tena, bahati nzuri ukajijaza mwenyewe kumwambia asilipe.

Kwa kifupi chukulia kila siku mliokutana kwa hizo mara mbili mliofanyana ilikugharimu 45,000. Sasa Mungu saidia iwe ulisimamia ukucha, ila kama ulipiga show ya kimoko chali basi ndugu umepiga bao ghali sana ambazo ungeweza kuzipata kwa buku 5 tu kila moja kimboka na change ya 80,000 kukuwezesha kula rosti kama waliokuwa wanakula waliokucheka.😀😀
 
Habari zenu wana jf,

Nina mahusiano na bidada mdogo tu ambaye anamiliki mgahawa mdogo tu, lakini unamuingizia pesa si chini ya 20K kwa siku, ni mchapakazi kweli kweli na shughuli zote anazifanya mwenyewe kitu kilichonivutia kuwa naye! Mgahawa wake ndo ulikuwa chanzo cha mimi na yeye kufahamiana kwa sababu lunch huwa naifanyia pale!
🤣🤣🤣Umegawa 90000 halafu ukaenda kukopa chakula 1500. Akili yetu iko kwenye suruali
 
Habari zenu wana JF,

Nina mahusiano na bidada mdogo tu ambaye anamiliki mgahawa mdogo tu, lakini unamuingizia pesa si chini ya 20K kwa siku, ni mchapakazi kweli kweli na shughuli zote anazifanya mwenyewe kitu kilichonivutia kuwa naye! Mgahawa wake ndo ulikuwa chanzo cha mimi na yeye kufahamiana kwa sababu lunch huwa naifanyia pale!

Tumshukuru mama kwa kuwa mpaka sasa nimekwisha mgegeda mara mbili, siku tatu zilizopita aliniomba nimwazime kitita cha Tsh 90k, lakini siku ya jana nimemkabidhi na kumwambia haitaji kunirudishia, achukue jumla, kanishukuru sana bidada wa watu!

Leo saa sita mchana wakati naenda kupata ugali dagaa nikamkuta yuko anaongea sauti ya chini na miondoko ya mwili na macho na mteja mwenye uchebe na kitambi mbinuko! Nikaamua kuchukua seat pembeni, nikamuita, alipofika nikamwambia anikope ugali dagaa wa 1.5k ili jioni nikiwa natoka kazini nimpitishie pesa yake!

Binti kakataa kata eti nisimuharibie biashara yake! Nimetamani kumdai 90k yangu, sema tu utalbani umeniingia, ingawa nimetoka ndani ya huo mgahawa ndani ya dk 3 tu tokea kuingia, nimejikuta nachekwa na wananchi walio kuwa pale nje huku wakilishambulia chuzi la samaki wa kubanikwa, losti lililotengenezwa na yule bidada!

Hapa nilipo nina hasira! Sijui huyu binti nimfanye nini!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] We jamaa
Sasa mkuu jana tu umemkopesha bidada leo huna hata mia, kwwli wanaume tuna huruma sana
 
Hata tukiweka swala la mapenz pembeni bado ww una haki ya kukopeshwa chakula kma mteja, ambapo ulimuahdi baadae utamlipa

Kwani ww uliokota hyo pesa 90k, hope ulitafuta kwa jasho na uliithamini biashara yake ndio maana ukampa 90 bila wasiwasi, leo hii yeye anakunyima chakula cha buku jero

Huyo hafai kaka wala usiende tena kula hapo kwake, hana cha kupoteza ww ndie looser
 
Back
Top Bottom