Nilimpatia elfu tisini jana, leo kakataa kunikopesha chakula kwenye mgahawa wake

.
 

Attachments

  • Screenshot_20220615-164253_Google.jpg
    29.3 KB · Views: 5
Unato 90k halaf unakopa ugali kwa 1.5k? Una haki ya kuonekana zoba
 
Hiyo ndio uliyolipia huduma uliyopatiwa kama unavyosema mara mbili.
 
Mkuu Relax alikua mbele ya Shareholder mkubwa.
 
Unyama mwingi Sana
Kujikuta Microfinance Bank mchezoπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Never a dull moment in here [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mi nimemsaidia manzi niakalmbwa block kila mahala nikadhani utani kumbe kweli , nikakausha eti ananipigia simtafuti ilihali kaniblock, nilivyokata simu sijamtafuta na akipiga sipokei
 
Vipi kama alikuwa anamjaribu kuona rangi halisi ya mwanamke japo wanawake wote ni wa BINAFSI ila huyu shetaniii kazidiii...
Tatizo mdau nae kaondoka ki-sabato Sanaa, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe ulimkopesha yeye kama yeye.. hupaswi kuingiza shoti kwenye biashara kisa umemkopesha yeye binafsi
Mkuu, nilimpatia jumla jumla, achukue yote asirudishe! Halafu kwenye msosi, sio kwamba nilitaka wa bure, nilimwahidi kumpitishia pesa yake nyakati za jioni!
 
Mkuu hiyo elfu 90 ni malipo ya kumgegeda mara mbili kama ulijuwa haujui, so picha lenu liliishia pale ulipo mpa 90k.

Jiongeze!
 
Mkoa gani huo Mkuu? kama ni huyu bi dadawa hapo yanapopaki maroli ndio michezo yake hiyo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…