Nilimpatia elfu tisini jana, leo kakataa kunikopesha chakula kwenye mgahawa wake

Na ukijua kwenye list mpo mabwana 8,utajiona hamnazo.
 
Na ukijua kwenye list mpo mabwana 8,utajiona hamnazo.
[emoji3064][emoji3064]
Kumbe watoto wa kike wanaupiga mwingi!

Ukipata mwanamke Gold digger akakupenda kutoka moyoni, akawa anakuchumia na kukuletea, utaenjoy maisha mpaka basi!
 
A
Anarudishaje wakati amemwambia amempa hisani. Au apige rivas
 
Wewe jinga, zoba, zumbukuku, kenge, ngedere mara ya mwisho lini umemtumia mama ako ata 50k

Mara ya mwisho lini umeenda town ukafanya kitu kwa ajili yako atabkwa laki moja
Ila unampa mwanamke 90 yote afu unakuja kueleza ulivo boya kwan hujifunzi watu lila siku wananzisha uzi kuhusu hawa viumbe
 
Pole mkuu
Wakati wa uchakataji ulikuwa unalipia tozo?
 
Business is a separate entity from the owner,ww ni nani basi ktk biashara yake!?[emoji23]
 
Akili matope hii

ulimwachia 90k ili umvuruge, jiongeze kijana yaani unashindwa vipi kuwa na buku jero mfukoni?
 
Business is a separate entity from the owner,ww ni nani basi ktk biashara yake!?[emoji23]
Duh!
Lakini si nilimuahidi kumpatia pesa yake jioni?
Hata kama tukiondoa issue ya mapenzi, haki yangu ya kukopeshwa msosi ingelibaki palepale kama mteja mzoefu wa mgahawa huo!

Kweli wanawake hamna dogo!

Sasa hivi na assume kuwa pesa yangu nimempatia mtu asiyejiweza, hivyo nimetoa sadaka!
 
Kumbe wakati unampa ulitegemea return [emoji23] !sio kwa dunia ya sasa hii iwe funzo kwkao .

Hata hivyo binti mbinafsi sana huyo.
 
Malipo ya hisani yako ni zinaa mliofanya, usimuharibie biashara mwenzako, pia inaonekana humridhishi kitandani, laiti ungekuwa unawajibika vzuri kitandani sio tu kku kopsha bali angekuletea parcel ofisni.
 
Hakupaswa kukunyima msosi wa buku jero tu ! Kazingua sana na achana nae! Siku atakuitia majamaa yake yakudunde
 
Kanuni za biashara ni kutochanganya mapenzi na biashara kila kitu kinajitegemea chenyewee
 
Malipo ya hisani yako ni zinaa mliofanya, usimuharibie biashara mwenzako, pia inaonekana humridhishi kitandani, laiti ungekuwa unawajibika vzuri kitandani sio tu kku kopsha bali angekuletea parcel ofisni.
[emoji23][emoji23]
Wanawake wa siku hizi hata uwe unamfikisha kileleni kisha unamrusha juu ya mawingu hawezi kukupa moyo wake mazima!

Kuna binti nilikuwa nafanya nae mapenzi kama tuko vitani, sarakasi kwa sana! uvunguni mwa kitanda, kwenye diaba ambalo halina maji, yaani full vurugu vurugu! Hadi nikapasua tv, tulikuwa tunatafutana kwenye simu tunaulizana, "leo mkesha au?" kisha tunakutana gheto!

Ila wapi! Bado alinisaliti licha ya huu mkuyenge mnene nilionao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…