APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
- #241
SawaKawatishe wapumbavu wenzio unajisifia ujinga hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaKawatishe wapumbavu wenzio unajisifia ujinga hapa
Tobi ushiroHold on...jumping ushiro ndo ipi hiyo..or do you mean ushiro gel..,?
Kwanini unasema hivyoEdmund Rice kama sijakosea.....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamaa kimyaaaLeo nimefurahi "wegero" katishwa na "Approximate" . Yaani mtishaji nae katishwa, kweli kila mbabe ana mbabe wake
Daah kweli mkuu,wewe ulisoma kipindi cha Frank??hivi unamjua billMzee mpaka hapo ulisoma Edmund rice sinon secondary school,
Hii ndio shule inaongoza kwa wanafunzi waliopinda hapo Arusha.
Hapo kijijini kuna mapusha kama wote.
Mabruda wa kikatoliki wako kama wote na hao wa sinon asil yao Australia e.g frank oshea,brother bill.
Ni asili ya hapo Edmund hua wanatoa wafadhili kwa wanafunzi wenye mazingira magumu.
Bisha?
Sio tu kumjua alikua rafiki yangu,alinipa mpaka baiskeli ya gear,wakati zile walikua wanapewa wale waliokua wanafaulu sana.Daah kweli mkuu,wewe ulisoma kipindi cha Frank??hivi unamjua bill
Sijawahi kutishwa na wapumbavu kama hao nikatishika mm nimuogope mjinga huyoLeo nimefurahi "wegero" katishwa na "Approximate" . Yaani mtishaji nae katishwa, kweli kila mbabe ana mbabe wake
Miaka ganiSio tu kumjua alikua rafiki yangu,alinipa mpaka baiskeli ya gear,wakati zile walikua wanapewa wale waliokua wanafaulu sana.
Mimi nilimaliza kipindi cha kina tini na kina chief cooker..
Sisi ndio tulikua manunda tumepanga mtaani,
Kabla ya kumaliza paper side na tini walikosa kosa kuchomana beto...
Mimi nime.to.mba. mtoto wa second mastar mr. Bashaija.
Walikua wawili sasa hapo kokotoa ni yupi.
Au vipi endelea nakuambia endelea,ushawahi kutekwa??Sijawahi kutishwa na wapumbavu kama hao nikatishika mm nimuogope mjinga huyo
Milima haikutani ila.binadamu wanakutana,ipo siku mtaonanaSema nafsi yangu inanisuta na nina deni sijui nitalipaje...
Kipindi namaliza form four,mimi nilikua ni moja kati ya manunda ninaogopeka mpaka na A-level.
Ni katili lakini sikua sikumbuki fadhila.
Nilisuswa na wazaz na ndugu wote, graduation yangu sikutembelewa na mtu wala siku-nunuliwa shati ama viatu vipya...
Kuna jamaa wa A-level alikua ananikubal sana pia alikua ananiogopa, baada ya ku-bounce kona zote,alinipa viatu vyake nivae kwenye graduu kwa upendo tuu,dah ila sikuwahi kuvurudisha wala hata sikumshukuru, wakati yeye ndio alikua msaada baada ya watu wote kunikataa.
Hata sikumbuki nilivitupa wapi ila sikuvirejesha..
Huwa nakumbuka na roho inaniuma mana alikua ndio anavitumia shule.
Sina namna ya kumlipa na simkumbuki hata jina zaidi ya sura.
Ulinimaliza O LEVEL miaka.ganiSio tu kumjua alikua rafiki yangu,alinipa mpaka baiskeli ya gear,wakati zile walikua wanapewa wale waliokua wanafaulu sana.
Mimi nilimaliza kipindi cha kina tini na kina chief cooker..
Sisi ndio tulikua manunda tumepanga mtaani,
Kabla ya kumaliza paper side na tini walikosa kosa kuchomana beto...
Mimi nime.to.mba. mtoto wa second mastar mr. Bashaija.
Walikua wawili sasa hapo kokotoa ni yupi.
UsiwazedingiUsisahau kuniletea bagiaView attachment 2409068