Nilimpiga Mwalimu akahama shule

Nilimpiga Mwalimu akahama shule

Kweli mkuu mimi nimezaliwa iliboru,sema kaloleni ilikuwa ndo chimbo langu,nako 2 nako walikuwa mabrother kwetu,sisi tulikuwa juniors nako,taekwondo na kick boxer nimejifunzia kaloleni,kipindi kile lazima uwe fit tu kulingana na mazingira ya ubabe yaliyokuwepo,nimepiga mazoezi gym moja na bou nako pamoja na fido vato,wote tulifundishwa na teacher mmoja
Fido vato naona bado anaendeleza mazoezi tizi kali. Ndiyo inatakiwa hivyo safi sana. Nasilkiliza album yake hapa Ololoo
 
Miaka fulani hivi around 2012 niliishi kwenye nyumba ya kupanga na mmoja wa wapangaji wenzangu alikua Teacher.

Siku Moja alirudi home kavimbavimba uso, nikamuuliza Teacher vipi kulikoni..akanijibi we acha tu nimechezea kichapo heavy kutoka kwa wanafunzi.

Nilicheka sana nikasema hii kazi ina mateso huku na huku [emoji3]
 
Mtafute myamalize kiume. Hiyo kazi yao kiroho sijui imekaaje ila mara nyingi karma huwatetea sana na unaweza ukakosa mwisho mwema. Chukua hii mkuu au nicheki DM
 
Sema nafsi yangu inanisuta na nina deni sijui nitalipaje...

Kipindi namaliza form four,mimi nilikua ni moja kati ya manunda ninaogopeka mpaka na A-level.
Ni katili lakini sikua sikumbuki fadhila.

Nilisuswa na wazaz na ndugu wote, graduation yangu sikutembelewa na mtu wala siku-nunuliwa shati ama viatu vipya...

Kuna jamaa wa A-level alikua ananikubal sana pia alikua ananiogopa, baada ya ku-bounce kona zote,alinipa viatu vyake nivae kwenye graduu kwa upendo tuu,dah ila sikuwahi kuvurudisha wala hata sikumshukuru, wakati yeye ndio alikua msaada baada ya watu wote kunikataa.

Hata sikumbuki nilivitupa wapi ila sikuvirejesha..
Huwa nakumbuka na roho inaniuma mana alikua ndio anavitumia shule.

Sina namna ya kumlipa na simkumbuki hata jina zaidi ya sura.
Mhhh
 
ukimaliza tuambie na maisha yako kwa sasa yapoje baada ya kujifanya mjanja sana kipindi unasoma bila kujua umuhimu wa kuzingatia masomo hata kama muda umeisha. wengi wa type zenu, hata hapa ukituambia umefanikiwa kimaisha huwa mnajifariji tu lakini moyoni mnatamani laiti mngerudi miaka ile mngekuwa na moyo wa kupiga kitabu. wewe sio mfano mzuri kwa watu wengine.

Binafsi nilizaliwa kijijini masikini kabisa, nikasoma kwa shida, sijawahi kusoma tuition tangu nizaliwe hadi form six, hata chuo, kwasababu sikuwa na pesa. cha ajabu, wenzangu waliokuwa wanaenda kusoma tuition walikuwa chini yangu, mimi kila siku wa kwanza tu. sio kwa masomo ya shule hiyo tu, hata mock na necta ambayo haijatungwa na shule hiyo niliongoza kwenye shule nilizopita. university Mungu alinisaidia kuchagua course niitakayo kwasababu nikiwa na BBB one point six ya miaka hiyo. kuna njemba moja ilitokaga DSM ilikuwa inajaziwa kila kitu na wazazi wake kuanzia vitamutamu, sukari, tanbond/blue band na pocket money ya kutosha kuturingishia, basi kuna siku nimekaa nikaona jina lake ameomba kazi ya udereva kwenye ofisi yetu. yaani alipoishia form four alifikiri wazazi wake wataendelea kuwepo, na hawezi kuendelea form six, akaishia kutafuta kazi ya udereva. nilimwonea huruma sana.

binafsi, wewe sio mfano mzuri wa kuigwa sio tu kwa watu wengine, bali hata kwa watoto wako. na usifikiri ni sifa.
Wewe ni mwalimu ndo maana unaonekana kukekwa na mwalimu mwenzako kuchezea kung fu.

Walimu hawajitambui ndo maana hata miongozo na waraka wa elimu kama muongozo wao wa kazi hawaujui.
 
Naona watu tunameanza kumhukumu Kiongozi kabla hajafika mwisho mpaka alipoishia kaanza kuwa raia mwema wanasema mchawi mpe mtoto akulelee jamaa akaanza kudili na wavuta bangi kwenye biblia kuna mtu aliwaua sana wakristo ila alibadilika na kuwa mtu mwema jamaa anatoa kama confession yake.

Asilimia kubwa ya watu either wana past mbaya au nzuri past zetu zimetufanya tujifunze mengi kutokana na makosa kwani mpaka leo si bado kuna watu wanavuta hizo bange nakumbuka mpaka speaker alisema kuna maraia bungeni wapimwe cannabidoid test

Tusihukumu
Umenena, kila mtu ana upande wake wa ovyo. Hakuna Mt. hata mmoja.
 
Wewe ni mwalimu ndo maana unaonekana kukekwa na mwalimu mwenzako kuchezea kung fu.

Walimu hawajitambui ndo maana hata miongozo na waraka wa elimu kama muongozo wao wa kazi hawaujui.
mimi sio mwalimu, pamoja na kwamba ni sensei wa shotokan karate. sishabikii kupiga waalimu pamoja na kwamba wana mapungufu mengi sana yanayokera.
 
Mkuu wanamapungufu mengi sana yanayokera

Duh aseee
mimi sio mwalimu, pamoja na kwamba ni sensei wa shotokan karate. sishabikii kupiga waalimu pamoja na kwamba wana mapungufu mengi sana yanayokera.
 
Yani asilimia kubwa form 3 ndo hua wanaanza kujifunza misumali......Mim kuna ticha ety alimtongoza rfk angu kamkataa tukala pesa zake ety akatangaza vita na mim me nkamwambia ww ni mkubwa lkn vita na mim uwez.
Ticha kaja class kanipa swali la Physics form two nikafanya vzuri nkaweza, akanipa tena swali la kuchora preparation ya oxy from hyro peroxide......eh bana si nkachora nkasahau kulabel manganese dioxide eeeh ticha akasema ujalabel hapa nkamwambia nmesahau tu kwa sabb muda umenipa mdg na me sio mzuri kweny kuchora chora akasema ety adhabu kubeba ndoo kumi za mchanga na kufagia ofisini ya walimu week nzima nkamwambia mie ni kiongoz siruhusiwi kufanya Kazi yyte zaid ya kutoa dawa kwa wagonjwa na kuhakikisha wanapatiwa huduma ya kwanza.......Ety unanijibu dharau mim nkukute administration block nkamwambia haina noma Edson.
Kwanza nkaingizwa kwa Second master, na displine master Alf second master mwenyewe alikua ananitokea........
Kuingia nikaaanza kujiliza ilivofika zamu yangu ya kujielezea nkasema kila kitu hadi alivomtongoza rfk angu na alivonitangazia vita.......Mim nliambiwa kesi yangu imeisha wakabaki na huyo ticha sijui aliliwa kiboga maan alitoka kachomoa shati
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti aliliwa kiboga [emoji1787]
 
Hii story ya huyu jamaa aliekuwa anajiita Damme kumbe haikuendelea mpaka leo.
 
Back
Top Bottom