Nilimpiga Mwalimu akahama shule

Mkuu kwa manufaa ysko, mtafute huyu Mwl umwombe msamaha. Ahsantrle
Msamaha wa nini kuna walimu wasengerema sana..kuna mmoja alinilamba stiki za uonevu ambazo hata sikustahili....sijui yuko wapi mbwa yule..siku ni kujua alipo natamfanya kitu mbaya mbwa yule akafie mbali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Umelaaniwa wewe mpaka kwenye utu uzima wako. Halafu unapata ujasiri kusimulia matokeo ya bangi zako!!! Aisee...,
 
Umelaaniwa wewe mpaka kwenye utu uzima wako. Halafu unapata ujasiri kusimulia matokeo ya bangi zako!!! Aisee...,
Huwezi kunilaani mimi, only God can judge me, acha kujifanya mtakatifu sana wakati umeficha makucha, nimependa kusimulia maisha yangu ya nyuma kama imekukera yanini kusoma uzi wangu? Acha ushamba uende mbinguni
 
Shenzi
 
Kila nikitaka kusimulia maujinga yangu kama ulivyosimulia maupuuzi yako, nafsi inanisuta sana. Kwa ufupi, nami nilikuwa mkorofi, ila siwezi kusimulia ujinga.
Mimi ukorofi umenipa kitu kikubwa maishani, zaidi ya pesa, na vimba popote
 
Msamaha wa nini kuna walimu wasengerema sana..kuna mmoja alinilamba stiki za uonevu ambazo hata sikustahili....sijui yuko wapi mbwa yule..siku ni kujua alipo natamfanya kitu mbaya mbwa yule akafie mbali.

#MaendeleoHayanaChama
Mimi walimu waliniogopa sana mpaka.wanafunzi
 
Hukukutana na mwalimu komando .Ningekuwa ndo mimi unipige nianguke mbele za wanafunzi ningeku r.i.p.hapohapo.mawashigeli na juu nzuki moja tu una r.i.p
Mzee mimi sipigiki,nilishawahi pigana na.watu wa 5 wote chini sasa weqe mmoja sinitakuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…