Nilimruhusu msaidizi auze bidhaa zake ndogo ila zinamlipa kuzidi mshahara wake. Je, nifanye maamuzi gani?

Nilimruhusu msaidizi auze bidhaa zake ndogo ila zinamlipa kuzidi mshahara wake. Je, nifanye maamuzi gani?

Uzi huu nimeweka jukwaa la biashara nategemea michango yenye tija. Tujue kutofautisha biashara na vituo vya kutoa misaada bure, msikiti, kanisa, n.k,

Kuna kaduka nilifungua, kwakuwa utumishi umenibana niliweka msaidizi anisaidie.

Biashara imeshuka lakini kibishi naendelea nayo

nikitoa gharama za frame nayolipia laki 5 kila mwezi (AISEE !!), mshahara, allowance, umeme, usafi, Tra, leseni, n.k. naingiza faida ya laki 3 hadi 4, Kabla biashara haijashuka ilikuwa ni Laki 8+

msaidizii aliwahi kuniomba aanze kuweka bdhaa zake, Nilichukulia poa kwasababu niliona bidhaa anazouza ni ndogo na ni nje ya biashara nayofanya, Nikamruhusu.

Mshahara naomlipa ni 150,000 kwa mwezi, allowance ya matumizi yake elf 70, jumla 220,000

Leo nilifika dukani hayupo kafunga, nina ufunguo wangu nikaingia, kuna kidaftari nilikiona kwenye draw.

Kapangiliaia vizuri sana hesabu zake, kila siku anafunga hesabu kwa faida ya elf 6 hadi 7, sometmes elf 8

Nilipiga picha fasta, nimefika home nimepiga hesabu, mwezi uliopita kaingiza faida 183,500

Kuna maamuzi kadhaa nataka nichukue

  • Nimwambie awe anachukua faida asilimia kadhaa kwa biashara yoyote atayoifanya dukani kwangu
  • Nisimlipe mshahara wake niwe nampa aloowance pekee, ajilipe mshahara kwenye faida
  • Nimpe miezi kadhaa auze, baada ya hapo iwe biashara yangu

Ni jambo liliilonfanya nitafakari sana, nichukue maamuz yapi.

Kwa wale ambao mnaingiza mambo ya huruma, mle mlale
Mkuu,uchawi si lazima uvae kaniki. Utamwachisha kazi,atakuachia biashara ila kama ipo,ipo tu.
 
Uzi huu nimeweka jukwaa la biashara nategemea michango yenye tija. Tujue kutofautisha biashara na vituo vya kutoa misaada bure, msikiti, kanisa, n.k,

Kuna kaduka nilifungua, kwakuwa utumishi umenibana niliweka msaidizi anisaidie.

Biashara imeshuka lakini kibishi naendelea nayo

nikitoa gharama za frame nayolipia laki 5 kila mwezi (AISEE !!), mshahara, allowance, umeme, usafi, Tra, leseni, n.k. naingiza faida ya laki 3 hadi 4, Kabla biashara haijashuka ilikuwa ni Laki 8+

msaidizii aliwahi kuniomba aanze kuweka bdhaa zake, Nilichukulia poa kwasababu niliona bidhaa anazouza ni ndogo na ni nje ya biashara nayofanya, Nikamruhusu.

Mshahara naomlipa ni 150,000 kwa mwezi, allowance ya matumizi yake elf 70, jumla 220,000

Leo nilifika dukani hayupo kafunga, nina ufunguo wangu nikaingia, kuna kidaftari nilikiona kwenye draw.

Kapangiliaia vizuri sana hesabu zake, kila siku anafunga hesabu kwa faida ya elf 6 hadi 7, sometmes elf 8

Nilipiga picha fasta, nimefika home nimepiga hesabu, mwezi uliopita kaingiza faida 183,500

Kuna maamuzi kadhaa nataka nichukue

  • Nimwambie awe anachukua faida asilimia kadhaa kwa biashara yoyote atayoifanya dukani kwangu
  • Nisimlipe mshahara wake niwe nampa aloowance pekee, ajilipe mshahara kwenye faida
  • Nimpe miezi kadhaa auze, baada ya hapo iwe biashara yangu

Ni jambo liliilonfanya nitafakari sana, nichukue maamuz yapi.

Kwa wale ambao mnaingiza mambo ya huruma, mle mlale
Ila binadamu bana.
 
Mkuu mpaka umeandika hapa means ndani yako kuna sauti inakwambia kinachoendelea hapo dukani kwako SIO SAHIHI na ni kweli sio sahihi.

Achana na wanaokwambia wewe ni mchawi sijui una roho mbaya sijui una tamaa.Haiwezekani dogo apate kuliko wewe au sawa na wewe sbb ukijumlisha 220k ya mshahara na allowance na 180k yq hiyo biz yake ni 400k means anakuzidi miez unayopata 300k au mko sawa miez unayopata 400k.
Kwa hela na expirience anayopata hapo kwako muda sio mrefu ataondokq kuanzisha yake na akifikia hilo lengo anaweza kuondoka na wateja wako.
Fanya figisu aondoke kabla hajaondoka na wateja wako then weka kijana mwingine na hiyo biashara yake fanya wewe..
Mkuu hata waajiri wa makampuni makubwa wanahakikisha wafanyakazi wao hawatajiri sbb wakitajirika wanawapoteza ndo mana ni watu wachache sana wanatajirika kwa mshahara.

Hakuna cha dogo ana kismati wala nini Hizo ni imani potofu.Watu wanaiba idea za watu wanapiga pesa na wewe chukua idea ya dogo itumie.Kama vipi akaanzishe kwake from scratch afanyie huko kama ni rahisi.Pia chunguza kwanini mapato yameporomoka.Usikute dogo anafanya michezo michafu hapo.

Hata hawa wanaokuzodoa wasingemuachia dogo apige hela kuwashinda jiongeze.
 
Mkuu mpaka umeandika hapa means ndani yako kuna sauti inakwambia kinachoendelea hapo dukani kwako SIO SAHIHI na ni kweli sio sahihi.

Achana na wanaokwambia wewe ni mchawi sijui una roho mbaya sijui una tamaa.Haiwezekani dogo apate kuliko wewe au sawa na wewe sbb ukijumlisha 220k ya mshahara na allowance na 180k yq hiyo biz yake ni 400k means anakuzidi miez unayopata 300k au mko sawa miez unayopata 400k.
Kwa hela na expirience anayopata hapo kwako muda sio mrefu ataondokq kuanzisha yake na akifikia hilo lengo anaweza kuondoka na wateja wako.
Fanya figisu aondoke kabla hajaondoka na wateja wako then weka kijana mwingine na hiyo biashara yake fanya wewe..
Mkuu hata waajiri wa makampuni makubwa wanahakikisha wafanyakazi wao hawatajiri sbb wakitajirika wanawapoteza ndo mana ni watu wachache sana wanatajirika kwa mshahara.

Hakuna cha dogo ana kismati wala nini Hizo ni imani potofu.Watu wanaiba idea za watu wanapiga pesa na wewe chukua idea ya dogo itumie.Kama vipi akaanzishe kwake from scratch afanyie huko kama ni rahisi.Pia chunguza kwanini mapato yameporomoka.Usikute dogo anafanya michezo michafu hapo.

Hata hawa wanaokuzodoa wasingemuachia dogo apige hela kuwashinda jiongeze.
exactly mkuu, hapa watuvwanajifanya maraika but ikiwatokea wao hawataamua hivi wanavoshauri.

serikali tu inakataza mtu kufanya biashara yake ofisi zake, unajua why?
 
Uzi huu nimeweka jukwaa la biashara nategemea michango yenye tija. Tujue kutofautisha biashara na vituo vya kutoa misaada bure, msikiti, kanisa, n.k,

Kuna kaduka nilifungua, kwakuwa utumishi umenibana niliweka msaidizi anisaidie.

Biashara imeshuka lakini kibishi naendelea nayo

nikitoa gharama za frame nayolipia laki 5 kila mwezi (AISEE !!), mshahara, allowance, umeme, usafi, Tra, leseni, n.k. naingiza faida ya laki 3 hadi 4, Kabla biashara haijashuka ilikuwa ni Laki 8+

msaidizii aliwahi kuniomba aanze kuweka bdhaa zake, Nilichukulia poa kwasababu niliona bidhaa anazouza ni ndogo na ni nje ya biashara nayofanya, Nikamruhusu.

Mshahara naomlipa ni 150,000 kwa mwezi, allowance ya matumizi yake elf 70, jumla 220,000

Leo nilifika dukani hayupo kafunga, nina ufunguo wangu nikaingia, kuna kidaftari nilikiona kwenye draw.

Kapangiliaia vizuri sana hesabu zake, kila siku anafunga hesabu kwa faida ya elf 6 hadi 7, sometmes elf 8

Nilipiga picha fasta, nimefika home nimepiga hesabu, mwezi uliopita kaingiza faida 183,500

Kuna maamuzi kadhaa nataka nichukue

  • Nimwambie awe anachukua faida asilimia kadhaa kwa biashara yoyote atayoifanya dukani kwangu
  • Nisimlipe mshahara wake niwe nampa aloowance pekee, ajilipe mshahara kwenye faida
  • Nimpe miezi kadhaa auze, baada ya hapo iwe biashara yangu

Ni jambo liliilonfanya nitafakari sana, nichukue maamuz yapi.

Kwa wale ambao mnaingiza mambo ya huruma, mle mlale
Huu sasa wivu..!!
 
Kaa nae muulize kama yuko Tayari kusimamia biashara yake, Mwambie akusaidie kutafuta mfanyakazi mwingine...

Then yeye atulie na biashara yake, Pengine ndio njia yake hiyo kutusua...
 
exactly mkuu, hapa watuvwanajifanya maraika but ikiwatokea wao hawataamua hivi wanavoshauri.

serikali tu inakataza mtu kufanya biashara yake ofisi zake, unajua why?
Jf kila mtu ana huruma kila mtu 180k ni ndogo tu yakupotezea ila ulimwengu wa biashara unataka kila cent inayoweza kupatikana ipatikane.
 
Mimi nadhani hiyo ndio njia rahisi ya kutoa sadaka.....

Hakuna hisia nzuri kwa muungwana kama kuwainua wengine

Ifanye mikono yako kama njia ya kuwainua wengine na sio kuwashusha wengine na wewe utabarikiwa......

Maisha ni safari ndefu sana ndugu hakuna ajuaye kesho yake........huyo anaweza kuwa msaada mkubwa kwako siku za usoni......
 
Kama fremu ni yake sawa, ila naye kapanga, itategemea na makubaliano yake na mwenye fremu
Sijajua yuko wapi, ila hii nimeiona hapa kariakoo mtu anaweka product zake kadhaa kwenye frem ya mtu then anazunguka kutangaza, mteja akitaka kwenda dukani anaenda nae hapo kwenye hio frem..

Mtaji ukikua anatafuta frem yake mwenyewe..

Hii maranyingi inategemea na uhusiano kati ya mwenye frem na huyo aliyejishikiza...
 
guys ambacho hamuelewi ni kua, anaiba muda wa muajiri wake kwejye kufanya biashara yake hapo hapo. Hatoconcetrate na biashara ya boss cas cha mtu chake, so lazima mudavwote awaze biashara yake inaimarika vipi, then boss atajua mwenyewe ilimradi me ananipa changu. We kuweza?
uko sahihi sana..kwanza alichemka sana kumruhusu kufungua bishara tena ndani ya biashara yake hilo halivumiliki kokote duniani
 
Back
Top Bottom