Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
- Thread starter
- #21
Siwezi kuthibitisha fedha halali mimi sio mwizi namwachia Mungu amlipemuoneshe ushaidi wewe sio ushirikina. Maana ikitokea bahati mbaya mtu akadedi lawama zote zitatupiwa serikalii。
Siwezi kuhangaika kumthibitishia kana kwamba nimeiba naendelea kumtazama jinsi alivyo na mdomo mchafu nikichoka basi nitaamua kukaa mbali na yeye akae mbali na maisha yangu