Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Haka kabinti nilikatongoza mara mbili, kalikataa kabisa kwakuwa mimi ni shemeji yake. Sasa naona tabia yake ile ya kuniomba nimnunue hiki mara nimtolee pesa ya mchezo, mara ya kula naona bado hajaiacha.
Vipi nimchane live kuwa akiwa na shida amwombe dada yake kisha dada yake ndiye afikishe ujumbe kwangu? Nimwambie kuwa apambane na maisha yake tusaidiane kwenye mambo ya msingi tu?
Au nikae kimya tu kila anaponipiga kirungu? Huyu binti amekuwa kero nawaza nimchane live kwani sina hamu naye sasa, kwakweli sasa sina morali naye tena kwasababu kuu mbili.
Moja nimefikiri na kuona kuwa ni shemeji yangu kwahiyo siyo vyema. Mbili mwanamke akinikataa baada
e huwa simtaki kabisa hata akae uchi sisisimki juu yake.
Vipi nimchane live kuwa akiwa na shida amwombe dada yake kisha dada yake ndiye afikishe ujumbe kwangu? Nimwambie kuwa apambane na maisha yake tusaidiane kwenye mambo ya msingi tu?
Au nikae kimya tu kila anaponipiga kirungu? Huyu binti amekuwa kero nawaza nimchane live kwani sina hamu naye sasa, kwakweli sasa sina morali naye tena kwasababu kuu mbili.
Moja nimefikiri na kuona kuwa ni shemeji yangu kwahiyo siyo vyema. Mbili mwanamke akinikataa baada
e huwa simtaki kabisa hata akae uchi sisisimki juu yake.