Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π sasa amekuja na kikundi cha ujamaa plus sungusungu na vikoba, acha waisome namba kwa novida.πππ navijua sema jina ndo chenga tho sio mpenzi wa vi juice vya hivo
Btn so hao dada zetu ndo wameagiziwa visoda hutu πππ its sad
Sawa mkuu wazo lako nitajaribu kulifanyia kaziKila mtu na imani yake bwana
Kuwa muangalifu usije tuu ukafilisika π€£π€£π€£Sawa mkuu wazo lako nitajaribu kulifanyia kazi
π si uache kama tatizo ulishalijua?Kuwa muangalifu usije tuu ukafilisika π€£π€£π€£
Mwenzio kila leo naishia kusafisha kiwanja tuu sijajenga wala aina familiaπ€£π€£π€£π€£
Bwana wee dunia tunapita tuu. Kwa nini ujenge njiani. Kula mbususuπ si uache kama tatizo ulishalijua?
Atajijua kama yupoNa mabinti wenyewe wamo humuhumu jeiefu. Kuna mmoja namhisi humu atakua ndiyo huyo binti
π eti kujenga njiani, kula mbususu ila kujenga njiani nayo muhimuBwana wee dunia tunapita tuu. Kwa nini ujenge njiani. Kula mbususu
Ina sukari balaa. Ukute walijiramba njia nzimaπ€£π€£π€£aina ya Soda...
Ampe masharti vipi, yan mwaliko apewe yeye aje na team kivipi?Kosa kumwalika bila kumpa masharti. Mbona kwenye harusi anafahamu kuwa kadi ni single au double
Yaani nimewakimbia kule ila wewe na wenzako mmenifuata mpaka huku. Nyie watu hamtaki niwe na raha kabisaOkwi mwenyewe ndo kavaa hivi na slogan yaoView attachment 2529727
Maneno ya kujifariji eti ujenge njiani ππ Mungu alivyo na rehema atakupa miaka 100 ili uendelee kukaa hapo njianiπBwana wee dunia tunapita tuu. Kwa nini ujenge njiani. Kula mbususu
Yaani nimewakimbia kule ila wewe na wenzako mmenifuata mpaka huku. Nyie watu hamtaki niwe na raha kabisa
Ina sukari balaa.
Naam...
Mara ya mwanzo kuzijua hizo soda ilikuwa Nairobi, wakati huo bongo havikuwepo, za Kenya wanapack kwenye chupa kama Bavaria...
Na kuna nyingine inaitwa Alvaro ni kama ina ladha sawa na Novida...
π€£π€£π€£π€£ Aha upo mrembo. Vipi cpa ilishapatikana au bado kuna somo wamekukamata?Maneno ya kujifariji eti ujenge njiani ππ Mungu alivyo na rehema atakupa miaka 100 ili uendelee kukaa hapo njianiπ