Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Mkuu OKW BOBAN SUNZU ,Naomba kuuliza kama utakuwa na uzoefu wa bei za viwanja maeneo ya Malimbe ama Buhongwa. Kiwanja tambarare cha kunyenyua nyumba ya vyumba sita kinaweza dai Tsh Mil ngapi?

Nimekufuata PM nikakuta imefungwa
Nipe muda niulize kwa mtu wa ardhi mkuu. Japo sijui shida ni nini PM sijafunga
 
Mwenzako niliwakimbia wa IFM,nikawaachia msala,waagizie kuku wanne na shampeni kimbia zima simu
 
Kosa kumwalika bila kumpa masharti. Mbona kwenye harusi anafahamu kuwa kadi ni single au double
Noo...Bro ..rafiki zake wa nini?yaani unataka demu ukimuaproach siku ukimuwambia muonane ni mpka umwambie kuwa asije na wenzie?True halijui hilo
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…