Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili afanyaje sasa?
Hiyo lazima itakuwa mashine, kuna spika pia za Bang & Olufsen, mi nina pc ya hp ina hizo spika...yan huwa nainjoy nikisikiliza hivi hivi kuliko kuunga na sound bar maana ni kelele tupu!Hamia hapo mkuu kama hutaki mambo mengi na unataka mziki mzuri only..
![]()
Portable Bluetooth Speaker - Harman Kardon GoPlay Tanzania | Ubuy
Explore and buy the Harman Kardon GoPlay Mini 2 portable Bluetooth speaker in Black. Experience high-quality sound and convenience. Order now from Ubuy Tanzania.www.ubuy.co.tz
Na aiwaNakuelewa zile redio za zamani zenye Cd Player na Casset player hazina mpinzani hadi leo.
Mchina bado akajifunze
Hitachi, Sonny, National Panasonic, Riptunes
UhakikaTafuta vizio ujue maana ya sound bar
Nijuze mkuu habari yake ipoje?Tafuta vizio ujue maana ya sound bar
Kiboko , KenwoodNakuelewa zile redio za zamani zenye Cd Player na Casset player hazina mpinzani hadi leo.
Mchina bado akajifunze
Hitachi, Sonny, National Panasonic, Riptunes
Zipo mzeeMimi najua sony ana wats 320 na hiyo watt 1000. 400 sijawahi sikia
Hivi zinapatikana kweli hizi? Maana nilkua nayo moja hapa Panasonic aiseeeeee mziki wake mpaka majirani walkua wanaona aibu kuwasha vi subwoofer vyao... Nililetewa na baba yangu mdogo alkuja likizo miaka kadhaa...Nakuelewa zile redio za zamani zenye Cd Player na Casset player hazina mpinzani hadi leo.
Mchina bado akajifunze
Hitachi, Sonny, National Panasonic, Riptunes
Kaka kwa music system JBL brand is the best aise tafute sound bar yako moja ya JBL watts 880W hautajutia....achana na ma home theatre kujaza space tu bei kubwa halafu hamna kitu.Hivi zipo ambazo zimeboreshwa na kuwekewa bluetooth?
Zipo mkuu ukitafta sehem wanazouza radio za mtumba zipo nilishawah kuzikuta dodoma kuna maduka zipo vinu vya hatar hapoHivi zinapatikana kweli hizi? Maana nilkua nayo moja hapa Panasonic aiseeeeee mziki wake mpaka majirani walkua wanaona aibu kuwasha vi subwoofer vyao... Nililetewa na baba yangu mdogo alkuja likizo miaka kadhaa...
Zipo Dar kuna wauzaji wa Redio Used from UK na Japan utazipata.Hivi zinapatikana kweli hizi? Maana nilkua nayo moja hapa Panasonic aiseeeeee mziki wake mpaka majirani walkua wanaona aibu kuwasha vi subwoofer vyao... Nililetewa na baba yangu mdogo alkuja likizo miaka kadhaa...