Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kampuni na bei zao zimenyooka ni balaaKaka kwa music system JBL brand is the best aise tafute sound bar yako moja ya JBL watts 880W hautajutia....achana na ma home theatre kujaza space tu bei kubwa halafu hamna kitu.
Kuna kitu kinaitwa High Fidelity music system (wenyewe wanaziita Hi-Fi kama sijakosea) hii ndio yenyewe kwenye suala zima la mziki incase of pure music quality na vionjo vyake kusikika katika kila angle.Ili afanyaje sasa?
Pole mkuuAisee nimekoma!
Hi-fiMkuu option ni zipi zaidi ya hizo?
OkI mean to switching from analogy to digital
Kaka mim nina LG home theater watt 1000 naomna iko powa ina sound moja tam. Unaeza ichek madukan ukaiskia piaMimi nina Sony Dav 650 ni home theater 1000Watt sijui hata ninachokisikia kama ni kelele au muziki,kwa ufupi nimeshaichoka.
Kama uwezo upo tafuta JBL wanazo soundbar nzuri iwe hiyo hiyo 5.1 unaweza ukaifurahia kidogo.
Seapiano siku hizi zimechakachuliwa sana hazina Ile quality kama ya zile za analogChukua seapiano sp 910 au 912....!
Mkuu naomba location ya wanakouza hizi Hi-Fi System...Tafuta high fidelity music system uenjoy bro
Mkuu, kwa matumizi ya nyumbani ukichukua zile party box za jbl kuna tatizo?Kaka kwa music system JBL brand is the best aise tafute sound bar yako moja ya JBL watts 880W hautajutia....achana na ma home theatre kujaza space tu bei kubwa halafu hamna kitu.
Sony mkuuBrand ipi wanatoa wana hiyo high Fidelity?
Zipo za kisasa mkuu kama hiiNadhani kuhusu high fidelity radio ni the same kama ya jamaa cd tatu ambayo imekufa kiufupi jamaa anataka kuenda na ulimwengu unaenda
Unaishi Wapi mkuuMkuu naomba location ya wanakouza hizi Hi-Fi System...
Kapicha tafadhalTafuta high fidelity music system uenjoy bro