Nilinyolewa nywele na mpenzi usiku

U
Toka ewe mchawi na majini yako, tuachie JF yetu, ndo maana wadada wa humu ndani hawaolewi, vijana hawataki kuoa.
umejuaje ni majini? Na nimesema walinzi ? Majini tu ndo walinzi ? Ewe mtu wa Mungu hata Malaika ni walinzi,
 
Mi sikujua hata nnao, ila wakawa active baada ya kuona nafanyiwa uchawi, nimelala na adui, nimempa papuchi adui, maisha magumu sana
Dah!! Pole sana ila ndiyo ukubwa huo. Changamoto tueumbiwa siye, kama umesha mjua kaa maye mbali move on....au jamaa tayari amesha kudatisha huwezi muacha ?!
 
Asana mshirikina mwenzangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…