Marlex Jr El
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 1,819
- 2,415
Kwahy mnao watoto wangap hadi sasa? Maana kwa umr huo ngono ndo ulikuwa msingi wa ndoa yenumiaka 17 kasoro miez tumepisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahy mnao watoto wangap hadi sasa? Maana kwa umr huo ngono ndo ulikuwa msingi wa ndoa yenumiaka 17 kasoro miez tumepisha
ukweli uwapi? jombaMtoto anaoa ,17 years bado ni mtoto.Nadhani haupo unadanganya watu huku.
Hivi inaruhusiwa kuoa ukiwa chini ya umri wa miaka 18? je na huyo jimama umiyemuoa alikuwa na umri gani? na SHERIA inasemaje kwa mwanamke mkubwa kuolewa na kitoto kidogo? je ulioa ukiwa bado bikira?Kwani wewe e unadhani majimama yanakuwaga na umri gani
Hongerampaka kufikia hapa nime type wee kila nikipost inajifuta nikasema ngoja nijaribu mara ya mwisho ndio nakuta hivyo ila mada ilikuwapo ndefu tu na naimani mngejifunza mengi kupitia hayo maelezo
mpaka sasa nina watoto nae wawili ktk hao wawl huyu mmoja nilimkutia anamiez mitatu na sababu ya kuamua kuoa mapema hivyo ni huruma maana hakuwa na msaada wowote na isitoshe hakuwa na wazazi alie mzalisha alimkimbia akiwa kidato cha pili nikaona isiwe kesi ngoja nibebe jukumuKwahy mnao watoto wangap hadi sasa? Maana kwa umr huo ngono ndo ulikuwa msingi wa ndoa yenu
Mbona kama story ni ndefu tiririka yote itapendezampaka sasa nina watoto nae wawili ktk hao wawl huyu mmoja nilimkutia anamiez mitatu na sababu ya kuamua kuoa mapema hivyo ni huruma maana hakuwa na msaada wowote na isitoshe hakuwa na wazazi alie mzalisha alimkimbia akiwa kidato cha pili nikaona isiwe kesi ngoja nibebe jukumu
Awww! Hongera sana, one in a millions tena Bongo!!!mpaka sasa nina watoto nae wawili ktk hao wawl huyu mmoja nilimkutia anamiez mitatu na sababu ya kuamua kuoa mapema hivyo ni huruma maana hakuwa na msaada wowote na isitoshe hakuwa na wazazi alie mzalisha alimkimbia akiwa kidato cha pili nikaona isiwe kesi ngoja nibebe jukumu
Hongera sana. Hakika ni maamuzi magumu sana. Naombea huyo jamaa aliyemzalisha mtoto wa kwanza asirudi tena katika maisha ya mkeo.mpaka sasa nina watoto nae wawili ktk hao wawl huyu mmoja nilimkutia anamiez mitatu na sababu ya kuamua kuoa mapema hivyo ni huruma maana hakuwa na msaada wowote na isitoshe hakuwa na wazazi alie mzalisha alimkimbia akiwa kidato cha pili nikaona isiwe kesi ngoja nibebe jukumu
Mkuu iandike kwa urefu hii mada, haujaitendea hakimpaka sasa nina watoto nae wawili ktk hao wawl huyu mmoja nilimkutia anamiez mitatu na sababu ya kuamua kuoa mapema hivyo ni huruma maana hakuwa na msaada wowote na isitoshe hakuwa na wazazi alie mzalisha alimkimbia akiwa kidato cha pili nikaona isiwe kesi ngoja nibebe jukumu
mpaka sasa nina watoto nae wawili ktk hao wawl huyu mmoja nilimkutia anamiez mitatu na sababu ya kuamua kuoa mapema hivyo ni huruma maana hakuwa na msaada wowote na isitoshe hakuwa na wazazi alie mzalisha alimkimbia akiwa kidato cha pili nikaona isiwe kesi ngoja nibebe jukumu
Hapana mkuu [emoji23]jombaa haya maneno yako
HahahahaaHongera saana.ni jambo zuri kuoa.
Mimi kaka yako nina miaka 30 hata dalili ya kuoa sina.nina mahawara tu kila siku vilio vya kutaka niwaoe haviishi ila kila nikiwaza kifungo cha ndoa naishiwa nguvu za kuoa.
Ila nitaoa
Serikali inatambua kuwa unaishi na mwanafunzi?hapana sio mwanafunz ila sote tulikuwa wanafunzi
kwanza nimshukuru mungu hatuna makuu japo kuwa mpaka kufikia hapa nimepita nae mitihan ming ila nimepambana labda itokee tatizo nje ya mfumo wa akili yangu kuhusu pesa kiukwel mungu ni mwema nipo vzr maana nimejenga tunaishi kwetu pia nina viduka viwil vitatu tunasonga changamoto zipo ila hazitafanya nilud nyumaHongera
Ila maisha matamu ndo kwanza yanaanza hapo ngoja umalize hio ngwe ya 22yrs mpaka 25 halaf utoke hapo 25yrs mpka30 ndo utajua ndoa kwanin iliitwa ndoano na inavua samaki gani