Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko kipind umemuoa muda uleee,,mlikua mnakaa kwa wazaz ama??
Alafu ulimuoaje oaje yaan,,,au ndo hukutegemea kwenye show wazungu waliwahi tunda yakaja matokeo ahaahha!!
ndio nimefanikiwa kipind naishi na mke halikuwa suala gumu sababu nilichokiangalia kipi kinaweza nigharimu nikakuta posho kwakuwa tayali nilikuwa napenda kufuga mbuz tokea nikiwa darasa la sita mpaka kufikia umri wa kumpata yeye nilikuwa na mbuz 22 nikawauza kumi nikiwa kidato cha nne nikaanza kujihusisha na kilimo nakumbuka nilianza na mahind heka moja na ufuta heka 3 mungu alinijaalia kwenye ufuta nilipata kama milion 4 hivi ndizo zilizonipa pakuanzia kiukwel mwanamke alinipa nguvu ya kupambana nazan bila yy mpaka sasa ningekuwa nasaka ajilaUmepata mafanikio gani mkiwa ndani ya ndoa
Jitahidi usije kuchepukandio nimefanikiwa kipind naishi na mke halikuwa suala gumu sababu nilichokiangalia kipi kinaweza nigharimu nikakuta posho kwakuwa tayali nilikuwa napenda kufuga mbuz tokea nikiwa darasa la sita mpaka kufikia umri wa kumpata yeye nilikuwa na mbuz 22 nikawauza kumi nikiwa kidato cha nne nikaanza kujihusisha na kilimo nakumbuka nilianza na mahind heka moja na ufuta heka 3 mungu alinijaalia kwenye ufuta nilipata kama milion 4 hivi ndizo zilizonipa pakuanzia kiukwel mwanamke alinipa nguvu ya kupambana nazan bila yy mpaka sasa ningekuwa nasaka ajila
Mkeo ana miaka mingapi?Ndio hivyo usimuache mke wa ujanani kwako.
Karibu kama una swali nitakujibu
sawa mkuu ila kunaitajika moyo wa jiwe nakumbuka aliniambia siwez kukuzuia coz bado ukijana na haujafaidi ujana fanya ila jitaid nisijue maana nitaumia na ninaposafiri hunipa box la condom kiujumla anajitambua na natunza heshima yakeJitahidi usije kuchepuka
Swali zuriHujawahi lia na mkeo wakati hela ya kula imeisha
Hahaha shemeji yetu nimemkubali aisee. Endelea kutunza heshima yake saanasawa mkuu ila kunaitajika moyo wa jiwe nakumbuka aliniambia siwez kukuzuia coz bado ukijana na haujafaidi ujana fanya ila jitaid nisijue maana nitaumia na ninaposafiri hunipa box la condom kiujumla anajitambua na natunza heshima yake
Aisee huyu ni mke muelewa sana.....napenda watu wanao jua ukweli na kuufatasawa mkuu ila kunaitajika moyo wa jiwe nakumbuka aliniambia siwez kukuzuia coz bado ukijana na haujafaidi ujana fanya ila jitaid nisijue maana nitaumia na ninaposafiri hunipa box la condom kiujumla anajitambua na natunza heshima yake
Haa😁😂Kwa hiyo unaona mmedumu sanaa?
Bado we subiriNdio hivyo usimuache mke wa ujanani kwako.
Karibu kama una swali nitakujibu
Mkuu, mi mwenyewe nilioa kisha nikaacha lakini sa hv ukiniletea habari za kuoa nitakwambia niletee mwanamke mwenye Bikra zote,Nilitaka kukuzingua lakini baada ya kufika hapa, nimeonelea nikaushe manake inawezekana ikawa unasema ukweli (my problem mimi ni mgumu sana kuamini amini kirahisi). Na kama ni kweli, basi we jamaa utakuwa na upako manake at 17 uanze kula vitu used just for her sake! Lazima utakuwa uncle ake na Jesus; hebu muulize vizuri mshua!
Dogo, huyo ni mmoja wa wanawake waliopo kwenye uwiano wa 1:10 , anajitambua na anajua maisha yanavyoendasawa mkuu ila kunaitajika moyo wa jiwe nakumbuka aliniambia siwez kukuzuia coz bado ukijana na haujafaidi ujana fanya ila jitaid nisijue maana nitaumia na ninaposafiri hunipa box la condom kiujumla anajitambua na natunza heshima yake