Nilioa nikiwa na miaka 17 hadi leo ndoa yetu ina miaka 5

Hongera saana.ni jambo zuri kuoa.
Mimi kaka yako nina miaka 30 hata dalili ya kuoa sina.nina mahawara tu kila siku vilio vya kutaka niwaoe haviishi ila kila nikiwaza kifungo cha ndoa naishiwa nguvu za kuoa.
Ila nitaoa
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…