Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Nikiwa mdogo miaka ya 2008 Kuna dada jiran yetu alipata kazi sehem flan ni hotel na inaupande wa Bar basi habari zikaenea kuwa anafanya kazi bar kila mtu mtaani alimchukulia Kama malaya kutokana na kitndo Cha kufanya kaz kweny hiyo hotel

Baada ya muda flani yule dada akaugua kwa muda mref Kama miez 4 hapohapo habari zikabadilishwa kuwa tayari ana ukimwi, watu wakaanza kumtenga kiaina ulipofika mwaka 2010 akajitokeza babu wa loliondo duuh na yeye si akaenda bana eeh ndo ikapigiwa mstari kuwa huyo kawaka jumla jumla

Kuna wengine pia walioenda loliondo kwa maradhi mengine Kama kisukari wakiamin babu wa loliondo atawatibu Ila walivyorudi tu tukawa tunaambiwa kuwa wana ukimwi kiukweli tulikua tunawaogopa sana hapo na miaka 13 ilikua nawakimbia
Suala la kunyanyapaa watu kisa ukimwi had sasa bado lipo ila halina ukali ule wa miaka ya 2000's ilikua noma mgonjwa anakufa kwa mawazo siyo maradhi tena
 
Kubaguliwa sio kwenye Ukimwi tu hata TB naona watu wengi hawana uelewa,kuna jamaa alikua anabaguliwa na ndugu zake kisa tu anaTB inasikitisha sana,jamaa alitengwa huyo chumba chake walikua hawaingii msosi anapewa kama mfungwa vyombo vyake vilitenganishwa tena vinaoshwa kwa gloves eti vitawaambukiza Noma sana,jamaa alipona ikabid ahame akatafute maisha sehemu nyingine!Chakushangaza baada miaka 3kupita kwenye ile familia watu wawili wakapata TB malipo hapa hapa!
Hawakumbagua Ila walichukua tahadhari ....
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah jamaa kweli mzimu wa HIV ulimkaa, eti akinywa coca vinapotea, duh
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
Doooh! Imenichekesha kwerikweri.
Ingekuwa ni Mimi sijui tusi ambalo ningelitoa.
 
Kwani nyie mna umri gani hadi mshangae hili?!
Mwaka 2001 rafiki yangu wa karibu sana kwa mara ya kwanza anakatiwa ticket ya ndege kwenda Dar kuhudhuria semina ya Ishi campaign. Aliporudi miaka michache baadae walianza event mbalimbali mitaani, vyuoni na mashuleni walikuwa wakifanya seminars, voluntary counseling and testing mitaani sio hospitalini.

Kuhusu simu..... hadi naona aibu kuongea hili labda niwaulize mmeanza kutumia simu lini? Mwenzenu simu ya kwanza ilikuwa Philips savvy, baadae nikanunua kwa pesa yangu Simens tuliita dole gumba na simu ya maana kwa wakati huo nilianza na Nokia 3310 simu zote hizi zilikuwa na meseji na tulikuwa tukitumiana sana tu lakini hatukuwa tukiita chat (sidhani kama hili ni muhimu maana story nimeiandika sasa) . Mwaka 2002 nilipoishi mtandao wa Mobitel ulikuwa umeanza huduma vocha zilizokuwepo ni za 5,000 na 10,000 tu baadae voda walipokuja wakaja na vocha za Alphatel za buku mbili tulikuwa tunachana karatasi mbili zilizoungana ndani unakutana na namba za vocha.

Kwani nyie mmeanza kutumia simu lini? Nsijekuwa napoteza muda wangu kuelimisha vijana wa Kikwete habari za Mwinyi!!

Alafu kuna kitu mnashindwa kuelewa hapa, nimeandika kisa kilianza miaka 20 iliyopita na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mingi na baadae alifariki na baada ya hapo ndio kisa cha huyu binti wa pili kilitokea. Kwa kumbukumbu zangu ilikuwa mwaka 2007 wakati huo mwenzenu sio mtoto na simu nimeshatumia miaka kadhaa nyuma.

Lakini mwisho hii tabia ya kupingapinga kila kitu ni hulka ya mtu hata ningekupa vigezo vipi bado kama una roho ya kupinga utatafuta swali na hoja ili uendelee kupinga tu, lengo langu ni kufikisha ujumbe kama kuna wachache wameelewa inatosha ujumbe umefika wala sina lengo la kupata huruma au mchango wa mtu maana hayo yalishapita sasaivi nakula raha na familia yangu mke tayari ninae watoto ninao sijui nataka nini tena kwenu mnaonibeza.
Kwani hawa wameanza kutumia simu lini 😀😀
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
Daah aisee hii noma snaaa
 
Njombe kuna mahali nilikuta mpaka majirani wanapitiana kwenda kuchukua ARV. Siku ya kugawa dozi utadhani kuna soko, kumbe ni foleni ya ARV.
Kwa nn njombe maambukizi yapo juu? Kama Ni barid mbna moshi, arusha na lushoto kuna barid sana lakn maambukiz yapo chni?
 
Kwani nyie mna umri gani hadi mshangae hili?!
Mwaka 2001 rafiki yangu wa karibu sana kwa mara ya kwanza anakatiwa ticket ya ndege kwenda Dar kuhudhuria semina ya Ishi campaign. Aliporudi miaka michache baadae walianza event mbalimbali mitaani, vyuoni na mashuleni walikuwa wakifanya seminars, voluntary counseling and testing mitaani sio hospitalini.

Kuhusu simu..... hadi naona aibu kuongea hili labda niwaulize mmeanza kutumia simu lini? Mwenzenu simu ya kwanza ilikuwa Philips savvy, baadae nikanunua kwa pesa yangu Simens tuliita dole gumba na simu ya maana kwa wakati huo nilianza na Nokia 3310 simu zote hizi zilikuwa na meseji na tulikuwa tukitumiana sana tu lakini hatukuwa tukiita chat (sidhani kama hili ni muhimu maana story nimeiandika sasa) . Mwaka 2002 nilipoishi mtandao wa Mobitel ulikuwa umeanza huduma vocha zilizokuwepo ni za 5,000 na 10,000 tu baadae voda walipokuja wakaja na vocha za Alphatel za buku mbili tulikuwa tunachana karatasi mbili zilizoungana ndani unakutana na namba za vocha.

Kwani nyie mmeanza kutumia simu lini? Nsijekuwa napoteza muda wangu kuelimisha vijana wa Kikwete habari za Mwinyi!!

Alafu kuna kitu mnashindwa kuelewa hapa, nimeandika kisa kilianza miaka 20 iliyopita na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mingi na baadae alifariki na baada ya hapo ndio kisa cha huyu binti wa pili kilitokea. Kwa kumbukumbu zangu ilikuwa mwaka 2007 wakati huo mwenzenu sio mtoto na simu nimeshatumia miaka kadhaa nyuma.

Lakini mwisho hii tabia ya kupingapinga kila kitu ni hulka ya mtu hata ningekupa vigezo vipi bado kama una roho ya kupinga utatafuta swali na hoja ili uendelee kupinga tu, lengo langu ni kufikisha ujumbe kama kuna wachache wameelewa inatosha ujumbe umefika wala sina lengo la kupata huruma au mchango wa mtu maana hayo yalishapita sasaivi nakula raha na familia yangu mke tayari ninae watoto ninao sijui nataka nini tena kwenu mnaonibeza.
Sawa mkuu usikasirike sasa mwee [emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Pole Sana. "Suspicions however grave cant be the basis for Conviction".Wabongo ndo maana wengi washirikina sababu ya kuishi kwa ramli ramli na kuhisi hisi
huyu mwanasheria naye sijui katokea wapi. sasa mambo ya conviction yanaingilia wapi kwenye mada hii.
 
Hao wote wanatakiwa waje waishi Mbeya, Iringa, Njombe wakati nipo Dar nilikuwa naona ukimw kitu cha ajabu ila nilipofika Mbeya nilipoenda Chunya, Mbarali (ubaruku, kapunga) aisee ukimw ni kitu cha kawaida sana yaan watu hawana ata hofu nayo wanakwambia kabisa "ngoja nikachukue dawa niende porini nikafuate mzigo".
Chunya ndio sanaa

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani nyie mna umri gani hadi mshangae hili?!
Mwaka 2001 rafiki yangu wa karibu sana kwa mara ya kwanza anakatiwa ticket ya ndege kwenda Dar kuhudhuria semina ya Ishi campaign. Aliporudi miaka michache baadae walianza event mbalimbali mitaani, vyuoni na mashuleni walikuwa wakifanya seminars, voluntary counseling and testing mitaani sio hospitalini.

Kuhusu simu..... hadi naona aibu kuongea hili labda niwaulize mmeanza kutumia simu lini? Mwenzenu simu ya kwanza ilikuwa Philips savvy, baadae nikanunua kwa pesa yangu Simens tuliita dole gumba na simu ya maana kwa wakati huo nilianza na Nokia 3310 simu zote hizi zilikuwa na meseji na tulikuwa tukitumiana sana tu lakini hatukuwa tukiita chat (sidhani kama hili ni muhimu maana story nimeiandika sasa) . Mwaka 2002 nilipoishi mtandao wa Mobitel ulikuwa umeanza huduma vocha zilizokuwepo ni za 5,000 na 10,000 tu baadae voda walipokuja wakaja na vocha za Alphatel za buku mbili tulikuwa tunachana karatasi mbili zilizoungana ndani unakutana na namba za vocha.

Kwani nyie mmeanza kutumia simu lini? Nsijekuwa napoteza muda wangu kuelimisha vijana wa Kikwete habari za Mwinyi!!

Alafu kuna kitu mnashindwa kuelewa hapa, nimeandika kisa kilianza miaka 20 iliyopita na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mingi na baadae alifariki na baada ya hapo ndio kisa cha huyu binti wa pili kilitokea. Kwa kumbukumbu zangu ilikuwa mwaka 2007 wakati huo mwenzenu sio mtoto na simu nimeshatumia miaka kadhaa nyuma.

Lakini mwisho hii tabia ya kupingapinga kila kitu ni hulka ya mtu hata ningekupa vigezo vipi bado kama una roho ya kupinga utatafuta swali na hoja ili uendelee kupinga tu, lengo langu ni kufikisha ujumbe kama kuna wachache wameelewa inatosha ujumbe umefika wala sina lengo la kupata huruma au mchango wa mtu maana hayo yalishapita sasaivi nakula raha na familia yangu mke tayari ninae watoto ninao sijui nataka nini tena kwenu mnaonibeza.
So huyo mpenzi wako alifarariki mwaka 2007 na ndio mkaanza na huyo spicy, so mwaka 2007 kulikuwa hakuna vocha za buku?
 
Akili ndogo hata hili nalo hadi kulipeleka Jamii inteligence ndi waelewe? Miaka 20 iliyopita ndio story ilipoanzia, mpenzi wangu alikufa miaka 6 baadae. mwaka 2005 na kabla ya hapo nakumbuka kabisa vipimo vya HIV vilikuwepo japokuwa havikuruhusiwa kutoka kiholela lakini kama ulikuwa na connection ilikuwa rahisi sana kuvipata.

Sikulaumu inawezekana miaka hiyo ulikuwa mtoto sana au haukuwa na uelewa na lolote kuhusu elimu ya UKIMWI lakini kama ni mtu mzima utakumbuka kabisa miaka hiyo AMREF imefanya sana shughuli hizi na pia kulikuwa na program maarufu sana iliitwa Ishi Campaign hii ilikuwa maeneo ya mijini sana kila mkoa. Wakati wewe ulikuwa Sigimbi mwenzako nilikuwa mjini na connection na vijana wa Ishi campaign 😛
Nakumbuka niliwahi shiriki tamasha la kuchana ishi kampeni shy town broo Ali Mainofu Kupuya akiitumbuiza akitoka school tukutu ya Blb aka Buluba, na imagine nikiwa std yeye akiwa cha nne na tukaja ajiriwa mwaka mmoja .
 
Kwani nyie mna umri gani hadi mshangae hili?!
Mwaka 2001 rafiki yangu wa karibu sana kwa mara ya kwanza anakatiwa ticket ya ndege kwenda Dar kuhudhuria semina ya Ishi campaign. Aliporudi miaka michache baadae walianza event mbalimbali mitaani, vyuoni na mashuleni walikuwa wakifanya seminars, voluntary counseling and testing mitaani sio hospitalini.

Kuhusu simu..... hadi naona aibu kuongea hili labda niwaulize mmeanza kutumia simu lini? Mwenzenu simu ya kwanza ilikuwa Philips savvy, baadae nikanunua kwa pesa yangu Simens tuliita dole gumba na simu ya maana kwa wakati huo nilianza na Nokia 3310 simu zote hizi zilikuwa na meseji na tulikuwa tukitumiana sana tu lakini hatukuwa tukiita chat (sidhani kama hili ni muhimu maana story nimeiandika sasa) . Mwaka 2002 nilipoishi mtandao wa Mobitel ulikuwa umeanza huduma vocha zilizokuwepo ni za 5,000 na 10,000 tu baadae voda walipokuja wakaja na vocha za Alphatel za buku mbili tulikuwa tunachana karatasi mbili zilizoungana ndani unakutana na namba za vocha.

Kwani nyie mmeanza kutumia simu lini? Nsijekuwa napoteza muda wangu kuelimisha vijana wa Kikwete habari za Mwinyi!!

Alafu kuna kitu mnashindwa kuelewa hapa, nimeandika kisa kilianza miaka 20 iliyopita na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mingi na baadae alifariki na baada ya hapo ndio kisa cha huyu binti wa pili kilitokea. Kwa kumbukumbu zangu ilikuwa mwaka 2007 wakati huo mwenzenu sio mtoto na simu nimeshatumia miaka kadhaa nyuma.

Lakini mwisho hii tabia ya kupingapinga kila kitu ni hulka ya mtu hata ningekupa vigezo vipi bado kama una roho ya kupinga utatafuta swali na hoja ili uendelee kupinga tu, lengo langu ni kufikisha ujumbe kama kuna wachache wameelewa inatosha ujumbe umefika wala sina lengo la kupata huruma au mchango wa mtu maana hayo yalishapita sasaivi nakula raha na familia yangu mke tayari ninae watoto ninao sijui nataka nini tena kwenu mnaonibeza.
Umeamua kutufokea tu brother,hao ISHi walipima wagonjwa chini ya certified medical officer,waliokuwa hawagawi vipimo...
The HIV and Aids(Control and Prevention)act Cap 431 has been amended to allow HIV self testing in November 2019,and the amendment become amidst 1 of Dec 2019..

Kuhusu simu hakuna mtu
kakupinga,Soma vizuri.

Anyway pole na majanga.
 
Back
Top Bottom