Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Sema wewe Kaka!Tanzania 2019
Hivyo vipimo hata mwaka 2005 vilikuwa havijagunduliwa..😂😂
Marekani kwenyewe hivyo vipimo vimeanza kutumika 2010
Halafu umesema kipindi hicho kulikuwa hakuna vocha za buku bali zinaanzia 5000 tu, 2005 kulikuwa hakuna vocha za buku?😂😂