Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Kama nilivyosema mtu akiamua kupinga atatafuta kila sababu ilimradi apinge tu. Inawezekana nabishana na mtu ambae hajui kabisa kuhusu UKIMWI na hajui hata ku google.
On November 7, 2002, the Food and Drug Administration announced approval of the OraQuick Rapid HIV-1 Antibody Test huko Marekani lakini miaka hiyo niliyokutajia hapa bongo ilikuwa tayari vimeingia. Elewa sikuwa mtoto ndugu yangu.

stori yako imejaa matobo mengi, tukiachana na huo uwongo huo, hebu tuaambie mwaka 2007 kulikuwa hakuna vocha za buku? najua hili hutaweza kujibu, utalipotezea kama hujaona
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
Naona kama watu weusi tuna laana hivi, yani UKINYWA COCA VIRUSI VINAPOTEA??!!.
 
Ndio theme yao ya kwanza ilikuwa ni "Usione soo sema nae" ambayo mzee Mkapa aliipiga chini kwasababu ilitafsiriwa kama inachochea watu kuendeleza ngono. Lakini sio ISHI maana haina kirefu ni Ishi kwa maana ya kuishi baas... Nnayo hadi picha nikiwa nimevaa tshirt za Ishi mdau alikuwa ananiletea mazaga hayo sana

View attachment 2229343
Basi Kama Ni ndondo Basi kombe nimekupa.
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
Aisee Dunia ina mambo!
 
Voucher/Dollar za buku 5.
images (1).jpeg
 
Umeamua kutufokea tu brother,hao ISHi walipima wagonjwa chini ya certified medical officer,waliokuwa hawagawi vipimo...
The HIV and Aids(Control and Prevention)act Cap 431 has been amended to allow HIV self testing in November 2019,and the amendment become amidst 1 of Dec 2019..

Kuhusu simu hakuna mtu
kakupinga,Soma vizuri.

Anyway pole na majanga.
Sijasema Ishi waligawa vipimo elewa tu watoto wa mjini tulivipata sana kupitia connection na sio kwamba Ishi walikuwa wakipima wenyewe hapana, walikuwa wana wadau wao kama ANGAZA na AMREF pia kuna NGOs zilikuwa na vibali vya kupima vipimo walipewa na serikali. Naongea kitu nnachokijua ndugu nimekuwa karibu sana na huyo mdau wangu kila walipoenda kwenye event alikuwa anakuja na vipimo. Vipimo vya kwanza vilikuwa vinafanana na vile vya mimba alafu baadae vikaja vile vipana vya plastiki (angalia picha)
hiv 1.jpg
hiv2.jpg

(picha ya mtandao)
 
Voucher/Dollar za buku 5.
View attachment 2229579
So hizi zilikuwepo mwaka 2007 kipindi anawasiliana na huyo demu wake Spicy? Au mnamezeshwa matango pori na kuyameza tu

Dah! Buzz!.... Umenikumbusha mbali sana. Inawezekana nisiwe sahihi sana kwenye mwaka lakini nakumbuka tumeanza kutumia vocha zikiwa katika thamani ya USD na tuliita dola5 na dola10 baadae ndio zikatoka zenye thamani ya Tshs. lakini bado tuliita dola. Ndugu hatahivyo nimejitahidi sana kukumbuka haya ni zaidi ya miaka 15 sikuwa na diary ya kunote kila kitu lakini nakumbuka enzi hizo. Nashindwa kukomaa na hili sababu sina uhakika vocha za buku mbili na za buku zilitoka mwaka gani.
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
Inachekesha na kusikitisha hapo hapo, dah 😂🙌
 
Ndio theme yao ya kwanza ilikuwa ni "Usione soo sema nae" ambayo mzee Mkapa aliipiga chini kwasababu ilitafsiriwa kama inachochea watu kuendeleza ngono. Lakini sio ISHI maana haina kirefu ni Ishi kwa maana ya kuishi baas... Nnayo hadi picha nikiwa nimevaa tshirt za Ishi mdau alikuwa ananiletea mazaga hayo sana

View attachment 2229343
Hawa nawakumbuka sana kupitia kituo chao walinifungulia dunia ya internet na kujua computer kiujumla. Nakumbuka ulikuwa unalipa 500 unakaa 1hr. Wakanizoea hadi wakawa wananiachia ofsi weekend nilikuwa kidato cha pili naona raha tu nafanya kuwawekea muda wanaokuja via time watcher.
 
Fresh mkuu!nimekuelewa Mimi.
Sijasema Ishi waligawa vipimo elewa tu watoto wa mjini tulivipata sana kupitia connection na sio kwamba Ishi walikuwa wakipima wenyewe hapana, walikuwa wana wadau wao kama ANGAZA na AMREF pia kuna NGOs zilikuwa na vibali vya kupima vipimo walipewa na serikali. Naongea kitu nnachokijua ndugu nimekuwa karibu sana na huyo mdau wangu kila walipoenda kwenye event alikuwa anakuja na vipimo. Vipimo vya kwanza vilikuwa vinafanana na vile vya mimba alafu baadae vikaja vile vipana vya plastiki (angalia picha)
View attachment 2229675View attachment 2229676
(picha ya mtandao)
 
Unanufaika vp ikwa ukweli au ikiwa uongo,( just curious),By the way hata based on true story huwa kuna uongo
Upo sahihi mkuu, kwakweli tunatofautiana sana uelewa, lengo lilikuwa ni kuwajulisha nilivyotendwa sababu ya unyanyapaa alafu mtu anakomaa na swala la vocha 🙁
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
Hiyo statement ya coke inaonyesha kiasi gani tz tupo gizani
 
Hii miaka hiyo ilikuwa kawaida sana kuzushiana, hasa kwenye hivi vimiji vidogo...

Nakumbuka 2003/2004 kuna mdada nilimpenda ila nikakutana na story eti ameukwaa na wamemuona kabisa hospitali anachukua dawa ...ilibidi nivunge tu wala sikuwahi mwambia lolote.

Tumekuja kuonana tena miaka mingi baadaye, kuna siku ikabidi nimuulize ni kipi hasa kilitokea, kiukweli alisikitika sana kumbe na yeye alikuwa kwenye stress kali sana.
 
Back
Top Bottom