Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Baada ya mdau kuleta evidence za uwepo wa vipimo vya fasta vya HIV, mnarukia lingine sasa. Sometime soma tu ukiona haikufai puuzia ondoka.
Na ngozi nyeusi tulivyo wanafiki kama nyama ya mk.... waliokuwa wamekomalia vipimo non of them will come back kusema sorry.
Unang'ang'ania vocha za buku 2007, itakusaidia nini?. Mwaka 2006 nilikuwa naenda mtaa wa miti mirefu, pamba road Mwanza napiga simu kwenye vibanda unajua nilikuwa natozwa sh ngapi kwa dakika?
Ni miaka mingi Sana imepita inawezekana kashasahau, yeye ni binadamu. Lakini pia inawezekana mahali alipokuwa hazikuwepo, just read the story.
Point ya maana sana hii, wote tungekuwa na uelewa huu hapa tungekuwa tunajadiliana kwanini unyanyapaa na tufanye nini kuelimisha jamii lakini kinyume chake tunaulizana vocha. Asante mkuu kwa uelewa wako
 
Niliishia pale Spicy akiwa kidato cha nne anaacha namba ya matron ili huyu suspect ampigie wapange watakutana wapi. Huo upuuzi hakuna mtoto wa kike anaweza fanya, matron sio bibi
Nimeishia hapo hapo namimi, chai iliyochacha.
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
Hatari na nusu; kwahiyo walidhani kanywa coke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duniani kuna vituko
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.

Bro wangu(sina udugu nae). Hadi leo kakubali yaishe na kapata single mama mmoja alieziba maskio na leo wanaishi.

Back then akapata kadada chap akakaslimisha mipango ya mahari ikafanyika chap. Siku 3 nyuma ya kupeleka mahari baba mkwe akamuita akamwambia:, mkwe 1/2/3.

Nasikia unatumia Dozi. jamaa akakanusha,akasema story isiwe ndefu twenden hospital kupima.
Baba bint akakubali, jamaa akarudi nyumbani kesho yake arudi kwa ajili ya vipimo.

Jion yake akapokea ujumbe, baba bint anasema vipimo vifanyikie mbali na mji(wilaya) waliyopo. Madaktar wengi waliopo ndani ya huo mji wanafahamiana na jamaa so uenda wakatoa majibu ya uongo ili kumlinda.

Jamaaa akasema si shida ni jambo dogo tu ilo,twenden wilayani. Asubuhi ilipofika akawapigia simu hawapokei. Makubaliano ilikuwa ni kukutana saa 3 asubuhi kwa ajili ya kwenda hospital lakin sasa simu hawapokei.

Wakati akiwa anatafakari ujumbe ukaingia unasema:, WATU WAMETUAMBIA MTU MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI AKINYWA COKE VIRUSI UPOTEA KWA MUDA.

MKWE TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOUPATA SISI TUMEGHAILI.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]aisee hapo mwshon nmecheka sana Mungu ansamehe
 
Kwa muda ulioutaja mh sijui ila yote kwa yote pole tuko pamoja , mimi nimepitia iko kipindi mpaka sasa wao huamini nilishakwisha sababu mama angu aliupata akafa, akafuata mzee na mwisho akafuata mdogo angu sasa jamii yote inajua mimi tayari but sio, hivyo usijal tuko wengi ishi maisha yako ndugu, hayo ni mambo ya kawaida sana. R.I.P my family.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu dah🥲. Mungu azilaze roho zao mahali salama.
 
Huu uvumi simple sana kuusolve
Kama wa vyeti feki

Mtu akikusema unamtumia cheti chako cha HIV Negative
Na msg ya 'Mnikome'..simple
Hata wawili au wa3
Watasambaziana wenyewe chaap sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....watasema vipimo va mchongo
 
Watz tuna upimbi mwingi somo kuu lilikuwa Umyenyepaa lakini tunabishana kuhusu ukweli wa vipimo na vocha.
 
stori yako imejaa matobo mengi, tukiachana na huo uwongo huo, hebu tuaambie mwaka 2007 kulikuwa hakuna vocha za buku? najua hili hutaweza kujibu, utalipotezea kama hujaona
Labda nimsaidie ,inawezekana zilikuwepo lkn hazikua na matumiz sana kama ya sasa iv au hazikua na matumiz kuliko izo za elf 5 au 10 , kwaiyo ata upatikanaje wake unakua mchache,mfano kama sasa iv kuna maeneo ukiwepo unaweza kusema vocha za ttcl hakuna , kumbe zipo sema hazipatikan sana kwa sababu ya uhitajikaji wake
 
Baada ya mdau kuleta evidence za uwepo wa vipimo vya fasta vya HIV, mnarukia lingine sasa. Sometime soma tu ukiona haikufai puuzia ondoka.

Na ngozi nyeusi tulivyo wanafiki kama nyama ya mk.... waliokuwa wamekomalia vipimo non of them will come back kusema sorry.
Unang'ang'ania vocha za buku 2007, itakusaidia nini?. Mwaka 2006 nilikuwa naenda mtaa wa miti mirefu, pamba road Mwanza napiga simu kwenye vibanda unajua nilikuwa natozwa sh ngapi kwa dakika?

Ni miaka mingi Sana imepita inawezekana kashasahau, yeye ni binadamu. Lakini pia inawezekana mahali alipokuwa hazikuwepo, just read the story.
Nilimuuliza maswali yote mawili akajibu la vipimo tu, na sio proof hiyo. mkundu ni mamaako

Kaweka proof gani hapo?
Na hata kama vilikuwepo, ila haikujulikana kama anavyodai, na lengo ni kumuaminisha huyo demu kuwa hana ngoma angemuaminisha vipi wakati kipimo hakijulikani?

Na maswali sio hayo tu, stori imejaa contradiction nyingi tu, sema nikataja hizo
 
Via freeservers.com na freeweb.com 🤣 naiba na script za java naweka saa, na vieffect kwenye web pages zangu. Aliyekuwa ananiinspire na jamaa flani alikuwa mdogo enzi hizo ana website inaitwa georgebuliki.freeservers.com.
Hahaha aise nahisi utakuwa ni wewe , hiyo freeservers.com umenikumbusha mbali,

Kuna jamaa nilicopy web yake zile picha na muonekano wa buttons zake, background images , daah alimind kichiz, ikabidi a design nyingine akaiweke na protection mtu asiweze ku copy..!

Nimeiba sana muda time watcher, nikiweka lisaa , najiongezea 30min hahahah
 
Hahaha aise nahisi utakuwa ni wewe , hiyo freeservers.com umenikumbusha mbali,

Kuna jamaa nilicopy web yake zile picha na muonekano wa buttons zake, background images , daah alimind kichiz, ikabidi a design nyingine akaiweke na protection mtu asiweze ku copy..!

Nimeiba sana muda time watcher, nikiweka lisaa , najiongezea 30min hahahah
Huenda mimi mkuu maana.
Hata mimi nimecopya sana na hata html nlikuwa sijui kuna mwarabu alikuwa na kaweb naye anakuja hapo ndiye alinifundisha code kama 5 kuanzia hapo nikajifunza nyingine zaidi.
 
Back
Top Bottom