Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Huenda mimi mkuu maana.
Hata mimi nimecopya sana na hata html nlikuwa sijui kuna mwarabu alikuwa na kaweb naye anakuja hapo ndiye alinifundisha code kama 5 kuanzia hapo nikajifunza nyingine zaidi.
Naona hiyo ilikupa misingi mizuri uakawa interested na masuala ya ICT
 
Tatizo na wewe ulikua kinyonge sana.

Huo uamuzi wa kulewa na kua shit ulikua wa kinyonge sana.

Kua smart, nenda gym, kula vizuri, vaa vizuri, perfume hadi shumileta roho imuume. Eti wewe ukaanza kulewa na kua malaya
Sasa si watasema ARV hizo zote...🤣🤣🤣
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huzuni ,ila kupima ghetto HIV 20yrs ago hapana.

Miaka hiyo ni kupima Angaza au Hospitalini.

Kwa Sasa hivi HIV is not deadly ,virusi vimefubaa Sema mapokeo yalikuwa ya kinyanyapaa ndiyo maana jamii inashindwa kuyapokea. Na vile yamehusishwa na ngono , ndiyo kabisaaa inaonekana kama ugonjwa wa aibu.
 
Wakuu tumepigwa na kitu kizito!yaani enzi hakuna vocha za buku na za jero vipimo vya HIV vilikuwa vikiuzwa madukani kweli?au Mimi mgeni?
Zilipoingilia simu za kiganjani ni kweli vocha zilikuwa za 5000 tu tena zikithaminishwa kwa dollar.
Lakini sasa hiyo ni miaka ya 90+, ni zamani sana tofauti na "kalenda" ya hadithi anayosimulia.
 
Kwa maelezo yako mkuu, nina wasi wasi juu ya uelewa wako kuhusu maambukizi ya Tb!

Uniwie radhi kusema hivyo kwa sababu, nimeshangazwa wewe kushangaa kuhusu ndugu zake wawili kupata maambukizi, huku umeshasimulia kwamba wakati akiugua, mazingira ya maisha yao,yaani yeye na ndugu zake yaliwafungamanisha!
 
Pole sana!
 
...Ungeweza kuifupisha...lakini nzuri
 
...Ovyo Sana. Pole Mkuu.
 
Ndugu yetu mmoja aliukwaa. Tukawa tunamuuguza nyumbani. Aisee!! Jamii mbona ilitutenga na wakati huo sisi Watoto tukienda kucheza wenzetu wameshalishwa sumu wanatukimbia. Nikikumbuka naumia sana!
...Achana Nao. Ni Wajinga. Pole Sana.
 
Hii kali ya mwaka🤣🤣🤣🤣
 
Jiamini, ishi. Hakuna kitu kinaitwa kirusi cha ukimwi. HIV is an overated myth.
Kweli. Nina mama yangu mdogo alipimwa Mwaka 1998, Miaka 24 iliyopita, Mpaka Leo anaendelea na Maisha yake Vizuri!
Ukimuona ni lazima Tamaa ya kuomba game ikuingie! Amefungasha vyema!
 
Kweli. Simu za Mkononi zimeanza Tanzania Miaka ya 1994/95. Tritel, Mobitel nk...
 
Doa la ukimwi likishakuangukia uwa HALITAKATI kamwe.
Yes ndo mademu wa hapo mtaani wasikushobokee!! kwakuwa wengi sana wanaturoga wanaume tuwe wao! ! watuendeshe wanavyo taka!! mademu sijui wakoje wachawi wachawi tyuuu!! weye pima jijue kivyako!

Nenda oa mbali huko tuma matumizi watastuka una watoto saba! na utajri km wooote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…