Nilioyaona kwa mkapa Yanga mna haki kabisa kuruka ukuta kimbien hizo getiii zao octb19

Nilioyaona kwa mkapa Yanga mna haki kabisa kuruka ukuta kimbien hizo getiii zao octb19

Uchawi hautakaa uishe

Niwakumbushe tu ndugu zangu wa Yanga octb 19 mjipange

Nilioona jana hawa jamaa ukiwachezea wanakuchezea usipowatawalaa wanakutawala

Tujitahidi sehemu wanapotupigia zile mechi za Derby n mlangoni na vyumban

Zamuhiii andaen faiini kabisaa hizo dubwasha zaooo ziwarudie

Yanga 5 vs simba 2

Octb 19

Kwa nkapa
TFF wameubariki Ulozi wa Mbumbu sc, Hawa wajinga wamezoe Ulozi na ndio maana hawana haibu ktk suala nzima la Ulozi.
 
NIWAKUMBUSHE TU

NDUGU YETU MMOJA ALIKUWA KAMATI YA UFUNDI ENZI ZA STELA ABDIJAN.....

WAKAMBIWA WAKALINDE UWANJA JAMAA WAKAKESHA

WAKAAKAMATA MHUNI MMOJA AKAPEWA MADUDE NA STELLA NA NN CHA KUFANYA NDANI YA WALE WALINZI WALIOWEKWA

USIKU AAKAFANYA YAO WAKALA MPUNGA WANGUVU TU

KUKANYAGA WÈEEEEEEE.....MIMBA MAPACHA
 
Mkuu hawa tunao mpaka 2030

Labda wahame nbc lg
 
Back
Top Bottom