hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah ila huyu wa ppp , duuh , siyo kabisaaa !Tutawezaga tukirudisha akili zetu, kwa sasa tuendelee kumsifia kafulia na miradi yake ya upigaji wa ppp
Rutashobya auMtoa mada lazima atakuwa mtani wangu wa lile kabila
Na ni ubinafsi wa viongozi wetu Africa inajitosheleza yenyewe hata tukirotate bidhaa hapahapa Africa si chakula si matibabu. ..sio technology ndo hivyo tuko butu lkn sisemi au sikubaliani na wanaosema Africa hatuna akili.,akili ipo nyingi kubwa tatizo ubinafsi na kutojitoa 100 kwa viongoziUkifika nchi kama Kanada utasema nini mwanangu? Huna haja ya kutudhalilisha kwa ushamba wako. Waafrika tuna akili ila ukoloni ulituchelewesha. Kuna siku tutawafikia tutakapopata viongozi na si chawa na wafuga chawa. Ulishafika Dubai au Sharjah, Manama na kwingineko au China? Hawa nao ni wazungu au ujinga na kutokujiamini kwako? Kifupi, tutakapoacha kushobokea ujinga kama dini na mila za kigeni, tutawakamata haraka tu.
Alafu simba na yangaSisi mawazo yetu ni ngono na pombe
Watu wengi wanaomlaumu Nyerere hawajui kuhusu hili.Tanzania ilikuwa protectorate colony na sio setler colony
Afrika real setler colony ni south afrika ndo maana imejengeka sana
Bado una hizo ndoto mkuu? Mbona channels ziko nyingi tu ukianzia za udhamini wa kimasomo na nyinginezo?Hongera kwa kufika Australia mkuu, moja ya nchi nazotamani kufika.
Ndoto ipo ila sijui nianzie wapi mkuu, hapo kwenye nyinginezo ndio zipi?Bado una hizo ndoto mkuu? Mbona channels ziko nyingi tu ukianzia za udhamini wa kimasomo na nyinginezo?
Setler colony zote uhuru wao waliupata kwa jasho na damu hawakupewa kama zawadi kama ilivyo Tanzania au UgandaWatu wengi wanaomlaumu Nyerere hawajui kuhusu hili.
AiseeNdoto ipo ila sijui nianzie wapi mkuu, hapo kwenye nyinginezo ndio zipi?