Nilipata pesa na kujiona mwanaume ndani ya ndoa

Kwa nini unatutumia takataka kutoka facebook kuna post yako ya kwanza niliona hiki kitu watu hawakushtuka leo tena nimeona kwa mara ya pili hebu liheshimu hili jukwaa sio eneo la kuokoteza kila posti na kuitupia humu ndani
 
Mzee ni mwendo wa code tu kwamba katelephone Ila mwenye nguvu muite power
 
Pole sana, sasa utakuwa mama bora kuliko mwanzo
 
Unakuwa na kiburi kwa kazi ya kuajailiwa na kulipwa mshahara. Kweli duniani Kuna watu wajinga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…