MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Kabetie yote utapata 2.5bil.🤸🤸🤸Mwez ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwez kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million. Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
💣USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
👉Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
Nipostie Mikeka Yako,nione ulikuwa unampigaje MrusiMwez ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwez kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million. Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
💣USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
👉Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
Mwamba wa betting unaitwa beach Kidimbwi kabla hujachelewa zaidi.Njoo maeneo ya kidimbwi hapa kabla hela yako haijaisha nikushauri
Kamari ni uraibu..Mwez ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwez kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million. Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
💣USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
👉Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
Atupostie Mikeka yake Ili tuifanyie auditAfisa ubashiri gani una wenge?
Hapa kwetu familia nzima tunafanya betting. Tukiamka asubuhi baba a nachukua elfu kumi kisha .anatugawia buku jero kila mtu. Halafu tunatengeneza mikeka. Jioni tunaangalia nani kamtaffuna mhindiKuacha no kila mtu na upepo wake wenzio twaendesha maisha kwa kazi hiyo hyo
Mhhhh! Not easy at allHapa kwetu familia nzima tunafanya betting. Tukiamka asubuhi baba a nachukua elfu kumi kisha .anatugawia buku jero kila mtu. Halafu tunatengeneza mikeka. Jioni tunaangalia nani kamtaffuna mhindi
Kila siku tunateketeza elfu kumi kwenye betting. Lkn inatulipa, kwa wiki tunaingiza 1M mambo yakiwa mabaya sana, lknyakienda vizuri mpk 10M
pesa ya kamri haifanyiwi biashara, Nunua ps5 na tivii yako inch 32 weka gheto. utanishukuru baadaeMwez ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwez kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million. Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
[emoji378]USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
[emoji117]Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
Umeshtuka kumeshakucha my friend😁Mwez ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwez kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million. Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
💣USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
👉Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
It is as easy as that.Mhhhh! Not easy at all