MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Mwezi ulioisha nikiwa nabet na kampuni la 1xbet, nilifanikiwa kukusanya pesa mpaka ikafika 2.5 million. Baada ya mwezi kuisha upepo ukakata mpaka sasa nimeliwa na imebaki 1.4million.
Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
💣USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
👉Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.
Najuta sana maana mwanzo kabisa niliwaza nikafungue playstation ila nikawa najivuta kutokana na kuwa busy na kikazi changu cha 200k kwa mwezi.
💣USHAURI KWA VIJANA WENZANGU
👉Pesa ya kamari ukiipata ingiza kwenye vitu vinavyoeleweka haraka iwezekanavyo na kamari acha kabisa narudia kwa herufi kubwa ACHA KABISA.
🤎Kubet sio njia sahihi ya kupata maisha ukipata pesa ya kamari kimbia Usigeuke nyuma.