Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.

Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo.

Baadhi ya sehemu unapita vumbi na unakuja kukutana na lami uchwara pale wanapoita katikati ya mji.

Safari ya maendeleo bado ni ndefu sana nchi hii.
 
Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.

Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo...
Nimemwangalia bongozozo anapita barabara za vumbi Migombani huko Malaysia, Singerpole na Japan, kupita kwenye barabara ya vumbi haimaanishi umasikini, haya yale madanguro ya Mwananyamala si bora ya maisha ya Kishapu.
 
Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.

Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo...
Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine?

Huko unakokukandia ndiko kuna watu darasa la Saba tu au Form Four lakini akikuonyesha balance yake Bank unaweza ukajikojolea,acha ushamba wa kudhani Dar ndio kila kitu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine?huko unakokukandia ndiko kuna watu darasa la Saba tu au Form Four lakini akikuonyesha balance yake Bank unaweza ukajikojolea,acha ushamba wa kudhani Dar ndio kila kitu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mimi leo na PhD yangu kichwani lakini Dar nakuja kikazi tu na kurudi Mkoani kwa sababu Mkoani ndio kila kitu, kumbuka Ajira nilianzia Dar hapo na nina uwekezaji wa nyumba kadhaa lakini leo ukiniambia nirudi Dar kuishi ni mbinde.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine?huko unakokukandia ndiko kuna watu darasa la Saba tu au Form Four lakini akikuonyesha balance yake Bank unaweza ukajikojolea,acha ushamba wa kudhani Dar ndio kila kitu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kwa mikoa ya Tanzania ni kweli Dar ndio kila kitu usibishe, kwani huoni hata wabunge wenu mkisha wachagua wanakuja kuishi Dar.
 
JF legend since 2009
I got that pull of Sammy the Bull
Stopping fools with half tank
All the way to the bank, not even full
Abrasive, Jurassic, aim like Luca Brasi
With double decker rhymes I'm passing Causing a stink, to the brink of the ring king
Cause I'm fasting while farting in Farsi
Rumi to roomies, Baba T groomed me
Til I "Who me'd? Houmid like I'm the Mardi Gras Mahdi
Til I Don Vito, incognito, records like Beatles
Hotter than Cheetos
Standing higher than Quito
Ecuadorian keto through the keyhole
I'm in effect, keeping tribes in Czech
Non aligned I move like Nyerere and Tito
Don't catch my drift, hey, such a rift?
I suggest you roll spliff and take a toke for a lift
I Sayonara, with gems like sonara
I bid you adieu from Bora Bora to Kimara


Good lookin' out my dude.You already know.
 
I got that pull of Sammy the Bull
Stopping fools with half tank
All the way to the bank, not even full
Abrasive, Jurassic, aim like Luca Brasi
With double decker rhymes I'm passing Causing a stink, to the brink of the ring king
Cause I'm fasting while farting in Farsi
Rumi to roomies, Baba T groomed me
Til I "Who me'd? Houmid like I'm the Mardi Gras Mahdi
Til I Don Vito, incognito, records like Beatles
Hotter than Cheetos
Standing higher than Quito
Ecuadorian keto through the keyhole
I'm in effect, keeping tribes in Czech
Non aligned I move like Nyerere and Tito
Don't catch my drift, hey, such a rift?
I suggest you roll spliff and take a toke for a lift
I Sayonara, with gems like sonara
I bid you adieu from Bora Bora to Kimara


Good lookin' out my dude.You already know.
Legendary 🏆 since 2009
 
Back
Top Bottom